Huyu mwanadada member wa JF napenda sana tabia yake

Huyu mwanadada member wa JF napenda sana tabia yake

Emmyta,sky,mzigua 90,espy,dinazarde,heaven sent,Evelyn salt,mumu,numbisa,nahuja ,nalendwa,mbitiyaza,demi,kapeace ,mahondaw,demiss,neybright na wengineo ..nawapenda wote maan tabia hatuwez kufanana!
 
Wallahi ( kwa sauti ya kabila la waha)

Jana baada ya kuangalia game ya Simba, tulishinda goli 4, then Man Utd akakalishwa cha nguruwe, muda uliofata Liverpool ikashinda, basi roho yangu kwatuuu, nikacheki Bongo Movie ikawekwa movie ambapo yumo Braza Kei na mashati yake makubwa, anakosea kufunga vifungo.

Amenichekesha sana jamaa kwa lafudhi yake ya kiha.
 
Jana baada ya kuangalia game ya Simba, tulishinda goli 4, then Man Utd akakalishwa cha nguruwe, muda uliofata Liverpool ikashinda, basi roho yangu kwatuuu, nikacheki Bongo Movie ikawekwa movie ambapo yumo Braza Kei na mashati yake makubwa, anakosea kufunga vifungo.

Amenichekesha sana jamaa kwa lafudhi yake ya kiha.
Huu uzi ni ajili ya kutunanga sie waha...!?
NAHUJA
 
Huyu bidada ni mtaratibu na muelewa sana. Hata mtu akimsemea hovyo huyo anainuka zake bila hata ya kutoa msonyo na kusepa kimya kimya. Hongera sana Best Sky Eclat

Mie sijambo kama nyie.

Nasema kutoka moyoni tena bila kushuritishwa na mtu, napenda sana tabia ya huyu dada member mwenzetu hapa JF. Huyu dada hana maringo, hana hasira hata mtu akimjibu utumbo. Hivi kwa nini na mie sina tabia njema kama za huyu dada (nina hasira sana). Mie mtu akinitibua ni jino kwa jino, jicho kwa jicho, mguu kwa mguu, mkono kwa mkono kinachofuatia ni nasomeka BANNED.

Wewe dada una busara sana. Mimi kama mwanamke mwenzio nasema hivi una tabia njema. Na kama una familia basi familia yako utakuwa unawalea katika maadili mazuri.

Huwa nikiona mtu "anamchokoza" huyu dada niko tayari kuingilia huo ugomvi (nina element za ugomvi sipendagi ujinga mimi).

Barikiwa sana Dada Sky Eclat pia nakutakia maandalizi mema ya mfungo (Kwaresma).
 
Emmyta,sky,mzigua 90,espy,dinazarde,heaven sent,Evelyn salt,mumu,numbisa,nahuja ,nalendwa,mbitiyaza,demi,kapeace ,mahondaw,demiss,neybright na wengineo ..nawapenda wote maan tabia hatuwez kufanana!
Tunakupenda pia mwaaaaaaaaaa
 
Jana baada ya kuangalia game ya Simba, tulishinda goli 4, then Man Utd akakalishwa cha nguruwe, muda uliofata Liverpool ikashinda, basi roho yangu kwatuuu, nikacheki Bongo Movie ikawekwa movie ambapo yumo Braza Kei na mashati yake makubwa, anakosea kufunga vifungo.

Amenichekesha sana jamaa kwa lafudhi yake ya kiha.
Naipenda Simba shabiki wa damu,, raha Sanaa Kuwa simba
 
Acha ni kwambie Dina, hatuwezi kuwa wapole wote au wakali wote.
Kutofautina tabia kwetu huleta mvuto kwa mwenye tabia tofauti, ona Nahuja anatamani upole wa Sky lkn mimi ninatamani ubabe na ukali wake[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nawewe ulivyo kuna watu wanakuzimia balaa, kutofautiana kwetu huleta mvuto
NAHUJA
Kama mimi kachangamfu kweli
 
Back
Top Bottom