Kwamba....
Mwalimu wake Kamuuliza Swali kuwa ukiachia Nelson Mandela Kufungwa takribani miaka 27 nani mwingine anamjua amefungwa ili kumfikia Mandela huyu Mwanafunzi akajibu kuwa ni Taifa Stars ( akimaanisha Timu ya Taifa Stars ya Tanzania baada ya Kufungwa lile Goli / Bao moja na Lesotho ) halafu akaketi zake kuendelea ratiba zingine za Darasani.
Hivi naandika huu ' Uzi ' huyu Mwanafunzi wa Shule ' fulani ' ya Bweni Kesho anaenda Kuadhibiwa kwa Kukosa adabu / nidhamu kwa Mwalimu wake. Je unavyoona Wewe huyu Mwanafunzi yupo sahihi au yanayomkuta sasa amejitakia mwenyewe tu?
Nawasilisha.