GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kwamba....
Mwalimu wake Kamuuliza Swali kuwa ukiachia Nelson Mandela Kufungwa takribani miaka 27 nani mwingine anamjua amefungwa ili kumfikia Mandela huyu Mwanafunzi akajibu kuwa ni Taifa Stars ( akimaanisha Timu ya Taifa Stars ya Tanzania baada ya Kufungwa lile Goli / Bao moja na Lesotho ) halafu akaketi zake kuendelea ratiba zingine za Darasani.
Hivi naandika huu ' Uzi ' huyu Mwanafunzi wa Shule ' fulani ' ya Bweni Kesho anaenda Kuadhibiwa kwa Kukosa adabu / nidhamu kwa Mwalimu wake. Je unavyoona Wewe huyu Mwanafunzi yupo sahihi au yanayomkuta sasa amejitakia mwenyewe tu?
Nawasilisha.
Mwalimu wake Kamuuliza Swali kuwa ukiachia Nelson Mandela Kufungwa takribani miaka 27 nani mwingine anamjua amefungwa ili kumfikia Mandela huyu Mwanafunzi akajibu kuwa ni Taifa Stars ( akimaanisha Timu ya Taifa Stars ya Tanzania baada ya Kufungwa lile Goli / Bao moja na Lesotho ) halafu akaketi zake kuendelea ratiba zingine za Darasani.
Hivi naandika huu ' Uzi ' huyu Mwanafunzi wa Shule ' fulani ' ya Bweni Kesho anaenda Kuadhibiwa kwa Kukosa adabu / nidhamu kwa Mwalimu wake. Je unavyoona Wewe huyu Mwanafunzi yupo sahihi au yanayomkuta sasa amejitakia mwenyewe tu?
Nawasilisha.