fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,026
- 22,549
Mwanajeshi hana muda wa kupumzika, mwanajeshi hana overtime kama wanazokula watumishi wengine. 24hrs akihitajika anatakiwa awe tayari kwa lolote, akipata mwache atumie, mwache aongee lolote alifikialo. Usijichanganye kwake maana maisha yake ni "Its just a matter of life n death, a road either to safety or to ruin
Waacheni
Waacheni