Huyu mwanajeshi wa JWTZ ana misifa anaporusha ndege za kivita

Mwanajeshi hana muda wa kupumzika, mwanajeshi hana overtime kama wanazokula watumishi wengine. 24hrs akihitajika anatakiwa awe tayari kwa lolote, akipata mwache atumie, mwache aongee lolote alifikialo. Usijichanganye kwake maana maisha yake ni "Its just a matter of life n death, a road either to safety or to ruin
Waacheni
 
Kucheza Draft na karata huko kambini na kutoka saa tisa ndui unasema hapumziki
 
Alivyo kupigieni simu kwamba mmeniona eeeee mngejibu hapana hatujakuona sie leo tupo arusha labda ilete hadi arusha tukuone....... Bila shaka angenuna sana kwanini hamjamuona wakati lengo lake mmuone ili afarijike mumuone bonge la bwana
 
Hujui majukumu ya kijeshi yalivyo, ukiona anacheza draft au karata kama usemavyo ndio tano yake hiyo.
Kucheza Draft na karata huko kambini na kutoka saa tisa ndui unasema hapumziki
 
Nimependa ulivyoelezea,unajua kutumia fasihi andishi vizuri.Hongera
 
Sio vizur kuhatarisha ajira ya MTU kwa insu personal zisizo za msingi kuziweka hapa..akifukuzwa utafurahi??..by the way maruban ni wachache..na unajua wazi wajedaa atakuja kula kwako..sijui utamuhudumiaje
 


Akapimwe akili, zile ndege zina kelele sana hajui kuwa kuna watu wenye matatizo ya kiafya majumbani?
 
Mtoa mada Aidha huyo mjeda aliwadanganya au ww ndio umetunga hii stori kwa sababu zifuatazo
1.Ruti au njia itakapopita ndege hazipangwi na mtu mmoja kwa kujiamulia hii hufuata operation plan ya zoezi husika na warusha ndege hupewa na viongozi mapema na sio jambo la kujiamulia kuwa mda huu nipitie kwa washkaji au nipitie njia ya home.
2.Ndege zile haiwezi kutua Msata, zikienda kule ni kutekeleza majukumu mengine ya zoezi na sio kutua
3.Rubani wa fighter jet hawezi kuongea na cellphone once in a cockpit
 
Sasa bora umwambie tu hapo hapo mnapokuaga huku hayupo bwana.
Ndo unafiki wa watz mkuu wanajua kulalamikia pembeni wakati wakikutana utakuta huyu mtoa mada ndo anamsifia kaka rubani mwanajeshi
 
Ip address yako nnayo bado jina pumbavuu kabisa unajua kazi ya jeshi ww na unajua jeshi sio polisi huwa atusemwi ovyoovyo ntakuonyesha kazii
 
Ip address yako nnayo bado jina pumbavuu kabisa unajua kazi ya jeshi ww na unajua jeshi sio polisi huwa atusemwi ovyoovyo ntakuonyesha kazii
Kwahyo policie wasemwa hovyo ovyo,
Duuuuh! Ha ha kunan police tz.
 
Tanzania nako bado kuna ndege za Kivita au ni Mfano wa ndege za Kivita. Maana wakati Uganda wana Tu 21 na Kenya F16 na Apache helkopter Tanzania bado ni zile mig za ile miaka ya 40-60

Tanzania


Kenya



Uganda Iliyokombolewa na Tanzania

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…