Huyu mwanajeshi wa JWTZ ana misifa anaporusha ndege za kivita

baby hulali?
Nilale kabla sijaona maandishi ya ninaempenda!? Nimekusakua majukwaa yote mpaka nimeona unacomment majina ya watoto kule akina Sheila kabang ndo nikaridhika nikataka kulala kumbe na wewe unanichora tu!

Aaaaaah! I'm crazy in love.

Have a starry starry night hun mkuu.
 
Ndo unafiki wa watz mkuu wanajua kulalamikia pembeni wakati wakikutana utakuta huyu mtoa mada ndo anamsifia kaka rubani mwanajeshi
Unataka asimsifie afu ale kipondo cha buure.
 


Hivi Ni kweli hayo?????.....
 

Mmmmh hivi siku hizi pale Msata kumbe fighters zinatua????!!!! Anyway haya ni mambo ya jeshi ngoja niishie hapa....
 
Acheni makamanda wafanye yao na nyie mnavyotujambisha na mabodaboda yenu mlio yakata mafla
 
Akapimwe akili, zile ndege zina kelele sana hajui kuwa kuna watu wenye matatizo ya kiafya majumbani?
We unafkiri hizo ndege za abiria au mizigo hizo ni dog fighter mwendo kusaka nyoka
Umenifanya nicheke zaidi😀😀😀😀😀.Sasa kwa usawa huu wa JPM kila mtu anajiongeza.Huyo ndio kajiongeza hivyo mkuu
 
Na la kuongezea hapo, ndege ya kijeshi kuruka ni mlolongo mrefu pia. Vitengo vingi vya ndani ya jeshi na nje hushirikishwa, si bajaji lile. Rubani uandaliwa kiafya, saikolojia nk kwanza kwa siku hizo sidhani hata kama huwa wanakwenda baa. Hata akigombana na mkewe aruhusiwi kuiliendesha... ndege ikipaa chini watu kibao wanasali kuomba irudi salama. Haiondoki hadi wenye vitengo vyao wote waweke saini hadi madaktari, mafundi wa idara zote.

Huyo si rubani bali anaweza akawa fundi na akaijua ruti tu.
 
He he he he na zina nguruma zilee dah wanasema low altitude ila dah so chief nakubaliana nawe
 
Sometime kudanganyana raha.
Nani kasema Msata kuna uwanja wa ndege?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…