Huyu mwanajeshi wa JWTZ ana misifa anaporusha ndege za kivita

Sijaelewa hii thread ni kichekesho au jambo la hatarishi?
 
mlimpa kinywaji gani?..BALIMI?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]et mmeniona ee lol!!
 
Baada ya kusoma huu uzi,niliamua kuingia mitandao mingine ya kimataifa kufanya uchunguzi wangu....nimegundua mtoa mada ni Muongo wa kupitiliza au hana elimu ya kutosha kuhusu Utaratibu wa ndege hata zile za kiraia katika urukaji wake. Labda ameamua kuwafurahisha wana J.F Pole sana mtoa mada,kuna mwana J.f amejaribu kueleza hapo juu vizuri taratibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…