Huyu mwanamke ananitishia maisha


Umenikumbusha jamaa yng mmoja amem-save dame kwenye phone book kwa jina la [HASHTAG]#vitisho[/HASHTAG]
 
Huyu sio wa Dar mkuu jamaa amesema yeye ni mgeni huo mtaa,pia angekuwa ni wa dar si mnasema show zao ni hafifu sasa kwa nn huyu binti amgande
 
Wasubiri tu wahuni, weka na mafuta karibu
wewe dhubutu mm ndio ndio nitawageuza bora nipigane mpaka niwaue au tuuwane au waniuwe lakini hayo unayoyasema hayatakaa yatokee kamwe mpaka siku nondoka kwenye hii sayari.Siogopi kufa aisee
 
wewe dhubutu mm ndio ndio nitawageuza bora nipigane mpaka niwaue au tuuwane au waniuwe lakini hayo unayoyasema hayatakaa yatokee kamwe mpaka siku nondoka kwenye hii sayari.Siogopi kufa aisee
Kama mwanamke tu kakutisha umeogopa hivi, wanaume utawamudu???
 
Kama mwanamke tu kakutisha umeogopa hivi, wanaume utawamudu???
mm si argue sana juu ya hili lakini jananimemtumia sms nikamuambia nasubiria utekelezaji wa hivyo vitisho vyake na police sintoenda coz naona kama anachelewa vile, kimya mpaka sasa hivi.
 
Kwa ustarabu muite ghetto mle mzigo halafu ongea naye kistaharabu zaidi na kiutu uzima zaidi atakuelewa.....
 
Idiot
 
Mkuu niachie password zako za jf nitawapa wana mrejesho, wadau na nyie naomba msijemkasumbua kutoa rambirambi za mwenzetu huyu, mi tayar nisha andaa sanda, wanawake wote andaeni machozi, njemba zote mjiandae kuchimba kaburi, mods watatusaidia jeneza.
 
Nipe namba zake nimkanye ili wewe ubaki Salama na yeye awe salama pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…