Poleni kwa kumpoteza mama,
Japo uchumi wako umevurugika kwa changamoto ulizopitia, ila nakuona kama kijana mpambanaji na mwenye kibali...Hulioni hilo? huoni mambo yako yanaanza kurudi kwenye mstari na ikiwezekana kustawi?...Unataka kumpa shetani nafasi akurudishe nyuma tena?...Huyo mwanamke ni kama agent wa shetani. Mema yote uliyomtendea na familia yake acha Mungu akulipie, mtenda mema hulipwa mema.
Msamehe kwa faida yako, mwambie humhitaji ukiwa umetulia bila hasira...Jipe muda wa kufanya mambo yako na jipende zaidi. Kwa muda sahihi utakutana na ubavu wako
.