Huyu mwanamke ni mzuri kama malaika, halafu mlokole

Subiria kupigwa tukio huyo mtoto aliyemfuata ulimuona, huko alipoajiriwa unapakua. Achana kabisa na first impression hii vijana wengi wamekula mkenge
 
😁😁 hiyo ndio maana halisi ya kujikubali, hongera ni vizuri kumuamini Mungu hata kama kanisani hauendi kabisa.
 
Nipe namba yake mkuu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…