Noah Scribe
JF-Expert Member
- Dec 29, 2024
- 578
- 1,436
Nitakuja hadi hapo Rombo Mashati, alafu nimepapenda sana, kule mlimani. Natafuta shamba huko, nitahami kabisa huko ππUs
ikose kufika Tarakea π.......
wanawake wa kirombo wachapakazi, wazurii, wavumilivu...... Ukimkuta ambaye Hana mambo mengi aaaah uta enjoy
Mashati bado hujafika Tarakea inakuwa mbele kabisa mpakani na Kenya na customs pia iko kule...... Karibu sanaNitakuja hadi hapo Rombo Mashati, alafu nimepapenda sana, kule mlimani. Natafuta shamba huko, nitahami kabisa huko ππ
Basi utanipa muongozo, niliishia hapo Rombo Mashati na kule milimani. Nilipapenda sana. Kutokea hapo Hadi Tarakea masaa mangapi kwa gari private?Mashati bado hujafika Tarakea inakuwa mbele kabisa mpakani na Kenya na customs pia iko kule...... Karibu sana
Almost dk 40 zinatosha au chini ya hapo....... Inategemea na speed afu ttzo Kona Kona kule ndo shida lkn ni karibuBasi utanipa muongozo, niliishia hapo Rombo Mashati na kule milimani. Nilipapenda sana. Kutokea hapo Hadi Tarakea masaa mangapi kwa gari private?
Najua nikiweka kamp hapo mwezi nitajua mbivu na mbichi
Ni Bora mtu aje na rangi moja umjue huyu yupo hivi...kupretend mi siwezi...huwezi nibeba kama nilivyo katafute wemaBro wanawake ni kama panya wa SUA, lazma tu kuna fursa ameinusa hapo.....
Nakuja huko, utakuwa mwenyeji kipindi natafuta shamba π πAlmost dk 40 zinatosha au chini ya hapo....... Inategemea na speed afu ttzo Kona Kona kule ndo shida lkn ni karibu
Kutoka Tarakea na mashati ni buku kwa Noah ama zile hiace
Shamba forest au wapi...... Labda ukutane na cha pombe ndo wanauza kwa sasa nipo huku nauza uduvi kwa chalamila.....Nakuja huko, utakuwa mwenyeji kipindi natafuta shamba π π
Nakuja kuwekeza , wauzaji wa kazi gani bwasheeee.. mie mtu na heshima zangu π πShamba forest au wapi...... Labda ukutane na cha pombe ndo wanauza kwa sasa nipo huku nauza uduvi kwa chalamila.....
Upo wapi bwashee
Em fanya tuwasiliane bwashee undugu ni kufaana ππ.......Nakuja kuwekeza , wauzaji wa kazi gani bwasheeee.. mie mtu na heshima zangu π π
Hardware ni biashara nzuri sana. Hapa kati kati nitakuja aiseee.. maana nilipanga hata kuja mapumziko nifanyie Rombo hapo.. hakuna mambo mengi.. nasikia Ile baridi safii kabisaaEm fanya tuwasiliane bwashee undugu ni kufaana ππ.......
Kuwekeza kule zaidi hardware aseeh, maduka ya bia bia hizi, au kitimoto biashara hizo zinatoka sana
Havina kanuni π πJuzi yule Mghana Jessica Saforo amemake headline, baada ya kuwashauri kwamba The best time to date is ACTUALLY when you are holy holy broke..
Ewaaah rombo Kuna barrrriiidiii lakini me nalipenda aseeh kuliko joto......Hardware ni biashara nzuri sana. Hapa kati kati nitakuja aiseee.. maana nilipanga hata kuja mapumziko nifanyie Rombo hapo.. hakuna mambo mengi.. nasikia Ile baridi safii kabisaa
Bwashee PM yangu inazngua mesej hazifunguki kabisa..... Tuchek WhatsApp...... Best regards πHardware ni biashara nzuri sana. Hapa kati kati nitakuja aiseee.. maana nilipanga hata kuja mapumziko nifanyie Rombo hapo.. hakuna mambo mengi.. nasikia Ile baridi safii kabisaa
π π Na mie hilo baridi ndio nalipenda sasa. No stress kwa kule..Ewaaah rombo Kuna barrrriiidiii lakini me nalipenda aseeh kuliko joto......
Unywe na mbege aseeh plus mdudu πΊπ
Poa mkuu Haina shidaBwashee PM yangu inazngua mesej hazifunguki kabisa..... Tuchek WhatsApp...... Best regards π
Baridii moja zuri sana hutojutia aseeh π π....... Lazima kiumeni kuumaneπ π Na mie hilo baridi ndio nalipenda sasa. No stress kwa kule..