Huyu mwanamke Pasua kichwa nakabiliana naye vipi?

Huyu mwanamke Pasua kichwa nakabiliana naye vipi?

Mwambie husiponiletea simu mpaka muda fulani "Kwa mfano mpaka kesho saa 4" utaenda polisi kwasababu yeye ni mwizi na amekiri kosa na ushaidi unao hapo wa hizo sms

Akikaza fuvu nenda kweli polisi kamripoti huyo mshenzi kama anavosemaga taikon "Husimuonee huruma mwanamke"

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeupokea ushaur wako
 
1.1 Mwambie hiyo simu aiuze, tafuta mtu ajifanye mteja akaongee nae, simu ikifika mikononi mwake uwe karibu

1.2 Nenda kwake, jifanye kuongea na simu ya mchongo wa hela (kuanzia laki 2) then mwambie hvi; ulieongea ni mwenye hyo simu, kesho analeta hela yako kwahyo atataka simu yake, ukipata hela unampa hyo laki akikupa simu kwishneh.

1.3 Jifanye kuongeza mahaba zaidi yaani zaidi ya kawaida, ili umfanye kuwa karibu yako muda mwingi, mshawishi! Mshawishi! Mshawishi! Mjari! Onyesha upendo fake! atabadili maamuzi mwenyewe.

1.4 Tafuta mtu umpange awe mteja wa mchongo, muite demu wako nyumbani kwako then mpigie jamaa yako muongee kibiashara kuhusu hyo simu, mpange bei, kila kitu! mwambie demu wako aifute (kama atakuwa hajaja nayo) akishaileta muombe ili utoe pasword. finish
 
Kuna kitu nahisi humu ndani yaani nahisi watoto wadogo wameongezeka humu ndani .

Anyway mripoti polisi ikiwa huna hela ya kumsaidia ila msaidie kama unayo ili uendelee kufurahia kumdinya.
 
Waungwana habari!

Direct to the topic.
Kuna mtu nilimlipia deni polisi akanipa simu yake smart nishike ili nimrudishie siku alinilipa pesa niliyomlipia.

Sasa hapa mtaani kuna dem nimekuwa natembea naye, week mbili zilizopita huyu dem aliniambia ana mimba lakini akawa anasisitiza nimpe hela akaitoe basi Mimi nikaona dalili za kupigwa tu na mimba Hana.

Sasa juzi jumapili asubuhi alikuja geto tukawa na mazungumzo then akasepa, aliposepa nikawa simu ya watu siioni, ikabidi nimcheki huyu demu lakini alikataa Katakata Kwamba haujachukua na hakuiona.

Usiku huu nimetumia mbinu ya kujishusha Kwamba nipo tayari nimpe hela anirudishie simu.

Amekubali kwamba alichukua simu lakini bila Laki harudishi.


Sasa wakuu naomba Busara zenu ili nitatue changamoto hii.
Nenda kamkatie Rb, chukua askari au mgambo mkamate Tina na juma wake. Wakilala lockup siku moja tu akili zitamrudia. Mbona ushahidi unao man.
 
Hapo kwenye sms baada ya kukubali kuchukua simu ungemtega na swali," Yaani umechukua simu na laki mbili halafu unataka tena laki?" Akiwa anajiparapara kukataa usijibu tena sms zake.

Polisi mpe 20,000 ya mafuta na ahadi ya 100,000 akimkamata sababu hujapoteza tu simu, umepoteza na laki mbili yako. Hii sio Rushwa, ni fidia ya usumbufu wa ww kuacha kazi zako na kuhangaika na yeye.
 
Back
Top Bottom