Huyu mwanamke Pasua kichwa nakabiliana naye vipi?

Nimeupokea ushaur wako
 
1.1 Mwambie hiyo simu aiuze, tafuta mtu ajifanye mteja akaongee nae, simu ikifika mikononi mwake uwe karibu

1.2 Nenda kwake, jifanye kuongea na simu ya mchongo wa hela (kuanzia laki 2) then mwambie hvi; ulieongea ni mwenye hyo simu, kesho analeta hela yako kwahyo atataka simu yake, ukipata hela unampa hyo laki akikupa simu kwishneh.

1.3 Jifanye kuongeza mahaba zaidi yaani zaidi ya kawaida, ili umfanye kuwa karibu yako muda mwingi, mshawishi! Mshawishi! Mshawishi! Mjari! Onyesha upendo fake! atabadili maamuzi mwenyewe.

1.4 Tafuta mtu umpange awe mteja wa mchongo, muite demu wako nyumbani kwako then mpigie jamaa yako muongee kibiashara kuhusu hyo simu, mpange bei, kila kitu! mwambie demu wako aifute (kama atakuwa hajaja nayo) akishaileta muombe ili utoe pasword. finish
 
Kuna kitu nahisi humu ndani yaani nahisi watoto wadogo wameongezeka humu ndani .

Anyway mripoti polisi ikiwa huna hela ya kumsaidia ila msaidie kama unayo ili uendelee kufurahia kumdinya.
 
Nenda kamkatie Rb, chukua askari au mgambo mkamate Tina na juma wake. Wakilala lockup siku moja tu akili zitamrudia. Mbona ushahidi unao man.
 
Hapo kwenye sms baada ya kukubali kuchukua simu ungemtega na swali," Yaani umechukua simu na laki mbili halafu unataka tena laki?" Akiwa anajiparapara kukataa usijibu tena sms zake.

Polisi mpe 20,000 ya mafuta na ahadi ya 100,000 akimkamata sababu hujapoteza tu simu, umepoteza na laki mbili yako. Hii sio Rushwa, ni fidia ya usumbufu wa ww kuacha kazi zako na kuhangaika na yeye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…