johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wewe ni mlevi!Wewe ni mlinzi
Ulizaneni vizuri hapo Ufipa bwashee!Ila Lissu mkampiga shaba
Wewe ni mlevi
Vyote vinakuhusu, hivi ukisoma ulichoandika unakielewa kabisaaaa.Wewe ni mlevi!
Hawana ubavu wa kumvaa mfalme Mbowe na genge lake la wa kaskazini.Ulizaneni vizuri hapo Ufipa bwashee!
Halafu jamaa kila leo bado anasisitiza tuendelee kumuombea!Ila Lissu mkampiga shaba
Duuuu!!!!! Huyo mweus nilimuona lkn sikujua yy ni upande upi kutojua lugha tatizo kweliUnamsifia huyu David Schoen kuwa ni kiboko, hukuwasikia wale impeachment managers walivyochambua sheria na sababu za kumimpeach DON TRUMP? Yule manager mweusi alichambua precedents za impeachment huko nyuma kitaalam kweli; wazungu wakawa wanang'aa macho! Fuatilia kesho uone sheria zinavyochambuliwa.
Duuuu!!!!! Huyo mweus nilimuona lkn sikujua yy ni upande upi kutojua lugha tatizo kweli
Nimekumanya mnamaHao weusi mwanamke na mwanamume wote wawili ni balaa, wako upande wa mashitaka dhidi ya TRUMP!!
Trump kashikwa pabaya, jamaa wana mchimbia shimo refu sana,Kuwa mwanasheria ni jambo moja lakini kuwa na uwezo wa kuichambua sheria kifungu kwa kifungu ni jambo lingine kabisa.
Niko natazama mubashara impeachment trial ya Donald Trump hakika huyu mwanasheria David Schoen wa Trump ni kiboko. Amenikumbusha uwezo wa Tundu Lisu katika kuchambua vifungu vya sheria.
Aisee duniani kuna mafundi wa sheria, kumbe Lissu anajua.
Maendeleo hayana vyama!
Unamsifia huyu David Schoen kuwa ni kiboko, hukuwasikia wale impeachment managers walivyochambua sheria na sababu za kumimpeach DON TRUMP? Yule manager mweusi alichambua precedents za impeachment huko nyuma kitaalam kweli; wazungu wakawa wanang'aa macho! Fuatilia kesho uone sheria zinavyochambuliwa.
Ni lugha ama unazi? Mpaka inafika watu muhimu kama Impeachment Managers wanafanya photoshop ya Tweets na ku edit videos ili kutengeneza ushahidi ujue hawana ushahidi wa kumwelemea. Nadhani hii impeachment itafungua wafungwa wengi sana wa Legacy Media.Trump kashikwa pabaya, jamaa wana mchimbia shimo refu sana,
Trump hachomoki,
ushahidi unamwelemea sana, matendo aliyo yafanya yako wazina hata kipofu anaweza kujua.
Sent using Jamii Forums mobile app
ushahidi wa tweets za truph unaonyesha kila kitu alicho kuwa akisema, mara baaada ya speech yake trh 6 January akihimiza wafuasi wake wote ktk majimbo mbalimbali kwenda Capitol hill kuzuia baraza lisimuidhinishe Baiden, na baadae kweli wafuasi wa Trumph walivamia jengo wakati huo na Makamu wake akiwa ndani, Trump hakuzuia maandamao, hivyo alitaka wajumbe walio kuwamo wauliwe!!......Kama Rais wa Marekani aliaapa kuilinda Katiba Ya Marekani halafu anafanya mambo ya ovyo kiasi hicho!! ameivunjia heshima marekani.Ni lugha ama unazi? Mpaka inafika watu muhimu kama Impeachment Managers wanafanya photoshop ya Tweets na ku edit videos ili kutengeneza ushahidi ujue hawana ushahidi wa kumwelemea. Nadhani hii impeachment itafungua wafungwa wengi sana wa Legacy Media.
Kuna vitu huwa media hazirushi ila itabidi zirushe tu hamna namna 🙂