Huyu mwanasheria wa Donald Trump amenikumbusha swaga za Tundu Antipas Lissu!

Huyu mwanasheria wa Donald Trump amenikumbusha swaga za Tundu Antipas Lissu!

ushahidi wa tweets za truph unaonyesha kila kitu alicho kuwa akisema, mara baaada ya speech yake trh 6 January akihimiza wafuasi wake wote ktk majimbo mbalimbali kwenda Capitol hill kuzuia baraza lisimuidhinishe Baiden, na baadae kweli wafuasi wa Trumph walivamia jengo wakati huo na Makamu wake akiwa ndani, Trump hakuzuia maandamao, hivyo alitaka wajumbe walio kuwamo wauliwe!!......Kama Rais wa Marekani aliaapa kuilinda Katiba Ya Marekani halafu anafanya mambo ya ovyo kiasi hicho!! ameivunjia heshima marekani.
kwakweli sheria ifanye kazi yake maaana akiachiwa anaweza kurudia tena

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Daah...
 
Wazazi wake wanatoka Eritrea ila yule mama mweusi Stacey yuko njema sana yule. Kajitengenezea jina kubwa sana nchi nzima kwa umahiri wake mkubwa wa kupanga hoja kwa kutumia vifungu vya sheria. Impeachment Managers walinifanya niwe stuck kwenye TV kuwaangalia for so many hours. Nadhani wengi wao ni wanasheria (lawyers by profession)
Unamsifia huyu David Schoen kuwa ni kiboko, hukuwasikia wale impeachment managers walivyochambua sheria na sababu za kumimpeach DON TRUMP? Yule manager mweusi alichambua precedents za impeachment huko nyuma kitaalam kweli; wazungu wakawa wanang'aa macho! Fuatilia kesho uone sheria zinavyochambuliwa.
Je unajua kuwa wazazi wa huyo lawyer Neguse ni wahamiaji toka East Africa?
 
Nadhani wengi wao ni wanasheria (lawyers by profession)
Most of them were former prosecutors if I am not wrong! Yule mama mweusi anatoka Virgin Islands moja ya makoloni ya Marekani!
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom