Mimi nilimshangaa sana alipokomalia suala la Kagoma wakati anajua hajuiUtopolo kwenye case nyingi huwa wanaangukia pua sana
Yanga isimuondoe jamani. Ina maokoto mengi ya yeye kula ili maisha yasije yakawa magumu kwake akaopt kwenda kwa P.Diddy.Yanga fukuzeni huyo mtu.....!
Anatolewa Jasho hata na Mzee Magoma?
Yaani Mzee Magoma yupo vizuri kwa Vifungu vya Sheria Kuliko Patiriki.!?
Hatumfukuzi , mfukuzeni kwanza Mangungu tuone kama mpo serousYanga fukuzeni huyo mtu.....!
Anatolewa Jasho hata na Mzee Magoma?
Yaani Mzee Magoma yupo vizuri kwa Vifungu vya Sheria Kuliko Patiriki.!?