Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah ashapoteza credibility 👌Huyu sio wa kuacha mambo yako ukamsikiliza, unamsikiliza tu unapokuwa huna cha kufanya, kama ni redio imefunguliwa kwenye daladala, au kama ni kumsoma kwenye gazeti basi hilo gazeti umelikuta ofisini kwa watu unasubiri kuhudumiwa ndio unasoma angalau muda uende.
Mpuuzi mmojaHuyu sio wa kuacha mambo yako ukamsikiliza, unamsikiliza tu unapokuwa huna cha kufanya, kama ni redio imefunguliwa kwenye daladala, au kama ni kumsoma kwenye gazeti basi hilo gazeti umelikuta ofisini kwa watu unasubiri kuhudumiwa ndio unasoma angalau muda uende.
We ni mpumbavuHoja zake zisipuuzwe
Wewe ndio nakupuuza nakuweka kwenye ignore listWe ni mpumbavu
Daaah aloo,hii imeendaHuyu sio wa kuacha mambo yako ukamsikiliza, unamsikiliza tu unapokuwa huna cha kufanya, kama ni redio imefunguliwa kwenye daladala, au kama ni kumsoma kwenye gazeti basi hilo gazeti umelikuta ofisini kwa watu unasubiri kuhudumiwa ndio unasoma angalau muda uende.
Zitto alikuwa bwege bwege alipokuwa chadema, toka aondoke huko kafunguwa akili na kaelewa ni nini haswa maana ya neno "siasa".Huyu sio wa kuacha mambo yako ukamsikiliza, unamsikiliza tu unapokuwa huna cha kufanya, kama ni redio imefunguliwa kwenye daladala, au kama ni kumsoma kwenye gazeti basi hilo gazeti umelikuta ofisini kwa watu unasubiri kuhudumiwa ndio unasoma angalau muda uende.
Daaah aloo,hii imeenda
Juzi alitoa onyo kwa mapinduzi yaliyofanyika NIGER 😅Huyu sio wa kuacha mambo yako ukamsikiliza, unamsikiliza tu unapokuwa huna cha kufanya, kama ni redio imefunguliwa kwenye daladala, au kama ni kumsoma kwenye gazeti basi hilo gazeti umelikuta ofisini kwa watu unasubiri kuhudumiwa ndio unasoma angalau muda uende.
Maoni yake juu ya mkataba batili wa DPW ni nini?
Mbona mimi nilishakupuuza siku nyingiWewe ndio nakupuuza nakuweka kwenye ignore list
Sababu ya dini hajaongea chochoteMaoni yake juu ya mkataba batili wa DPW ni nini?