Huyu mwanasiasa anapuuzwa sana

Huyu mwanasiasa anapuuzwa sana

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Screenshot_20230823-113553.jpg
 
Huyu sio wa kuacha mambo yako ukamsikiliza, unamsikiliza tu unapokuwa huna cha kufanya, kama ni redio imefunguliwa kwenye daladala, au kama ni kumsoma kwenye gazeti basi hilo gazeti umelikuta ofisini kwa watu unasubiri kuhudumiwa ndio unasoma angalau muda uende.
 
Huyu sio wa kuacha mambo yako ukamsikiliza, unamsikiliza tu unapokuwa huna cha kufanya, kama ni redio imefunguliwa kwenye daladala, au kama ni kumsoma kwenye gazeti basi hilo gazeti umelikuta ofisini kwa watu unasubiri kuhudumiwa ndio unasoma angalau muda uende.
Yeah ashapoteza credibility 👌
 
Huyu sio wa kuacha mambo yako ukamsikiliza, unamsikiliza tu unapokuwa huna cha kufanya, kama ni redio imefunguliwa kwenye daladala, au kama ni kumsoma kwenye gazeti basi hilo gazeti umelikuta ofisini kwa watu unasubiri kuhudumiwa ndio unasoma angalau muda uende.
Daaah aloo,hii imeenda
 
Huyu sio wa kuacha mambo yako ukamsikiliza, unamsikiliza tu unapokuwa huna cha kufanya, kama ni redio imefunguliwa kwenye daladala, au kama ni kumsoma kwenye gazeti basi hilo gazeti umelikuta ofisini kwa watu unasubiri kuhudumiwa ndio unasoma angalau muda uende.
Zitto alikuwa bwege bwege alipokuwa chadema, toka aondoke huko kafunguwa akili na kaelewa ni nini haswa maana ya neno "siasa".
 
Huyu sio wa kuacha mambo yako ukamsikiliza, unamsikiliza tu unapokuwa huna cha kufanya, kama ni redio imefunguliwa kwenye daladala, au kama ni kumsoma kwenye gazeti basi hilo gazeti umelikuta ofisini kwa watu unasubiri kuhudumiwa ndio unasoma angalau muda uende.
Juzi alitoa onyo kwa mapinduzi yaliyofanyika NIGER 😅
 
Kama namuona zitto anavyowaonyesha dole la kati nyumbu wanaokosa usingizi kwa ajili yake!!
 
Back
Top Bottom