Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
- Thread starter
- #21
UstadhatZitto alikuwa bwege bwege alipokuwa chadema, toka aondoke huko kafunguwa akili na kaelewa ni nini haswa maana ya neno "siasa".
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UstadhatZitto alikuwa bwege bwege alipokuwa chadema, toka aondoke huko kafunguwa akili na kaelewa ni nini haswa maana ya neno "siasa".
Hamna bado ni bwege hajieleweZitto alikuwa bwege bwege alipokuwa chadema, toka aondoke huko kafunguwa akili na kaelewa ni nini haswa maana ya neno "siasa".
Anajielewa sana sasa hivi, chama chake ni kipya kabisa na kipo madarakani.Hamna bado ni bwege hajielewe
Kipo madarakan wapi?Anajielewa sana sasa hivi, chama chake ni kipya kabisa na kipo madarakani.
Kilicho pitishwa ni makubaliano sio mkatabaMaoni yake juu ya mkataba batili wa DPW ni nini?
Ipi tofauti ya Makubaliano na Mkataba?Kilicho pitishwa ni makubaliano sio mkataba
Matatizo yake huyu mbembe ni
Ha ha ha ha jamaa ni namba nyingine kwenye unafiki.Juzi alitoa onyo kwa mapinduzi yaliyofanyika NIGER 😅
Jamaa ni nouma sana, ila kuna waliomjua zamani wala hawasumbuki naye.Mpuuzi mmoja
TakbiiiirrrrrZitto alikuwa bwege bwege alipokuwa chadema, toka aondoke huko kafunguwa akili na kaelewa ni nini haswa maana ya neno "siasa".