Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Yanga kufungwa mechi mbili tayari mwandishi anamuuliza kocha kama bado Yanga wapo kwenye mbio za ubingwa.
Kwenye round ya 10 kupoteza pointi 6 tu tayari mwandishi haioni Yanga kwenye nafasi ya kugombania ubingwa.
Hii sijawahi kuiona popote pale na imenistua.
Huyu mwandishi inawezekana lengo lake lilikuwa ni kumdhalilisha Gamond, lakini out come imekuja na majibu mengi.
Ameidhalilisha ligi ya Bongo. EPL hakuna timu ambayo haijapoteza mechi na Man U tupo nafasi ya 13 tukiwa tumepoteza mechi 4 lakini bado tumesimama kwenye ambitions zetu zilezile
Kiukweli kabisa nashindwa kujua hawa waandishi wa habari za michezo ni kigezo kipi haswa kinachowafanya wapewe dhamana ya kwenda kuiwakilisha media kwenye events kubwa za kimichezo kama hizi?
Unaweza kutia shaka hata tu taaluma zao mpaka hatua ya mwisho ya kufikia kuajiriwa.
Huwenda ni kutokana na mfumo mbovu tulioutengeneza wenyewe ndio unaotuletea haya madhara tunayoyaona leo
Nazungumzia yale mambo ya kupeana kazi kwa kujuana yanayotokana na connection ndio yaliyowapa access vilaza wakajikuta wameajiriwa.
Kama ni ishu za mpira hivi inashindika kweli kwa media ku hire watu ambao wamecheza mpira na wameusomea mpira ili wakiwa field
Kwenye round ya 10 kupoteza pointi 6 tu tayari mwandishi haioni Yanga kwenye nafasi ya kugombania ubingwa.
Hii sijawahi kuiona popote pale na imenistua.
Huyu mwandishi inawezekana lengo lake lilikuwa ni kumdhalilisha Gamond, lakini out come imekuja na majibu mengi.
Ameidhalilisha ligi ya Bongo. EPL hakuna timu ambayo haijapoteza mechi na Man U tupo nafasi ya 13 tukiwa tumepoteza mechi 4 lakini bado tumesimama kwenye ambitions zetu zilezile
Kiukweli kabisa nashindwa kujua hawa waandishi wa habari za michezo ni kigezo kipi haswa kinachowafanya wapewe dhamana ya kwenda kuiwakilisha media kwenye events kubwa za kimichezo kama hizi?
Unaweza kutia shaka hata tu taaluma zao mpaka hatua ya mwisho ya kufikia kuajiriwa.
Huwenda ni kutokana na mfumo mbovu tulioutengeneza wenyewe ndio unaotuletea haya madhara tunayoyaona leo
Nazungumzia yale mambo ya kupeana kazi kwa kujuana yanayotokana na connection ndio yaliyowapa access vilaza wakajikuta wameajiriwa.
Kama ni ishu za mpira hivi inashindika kweli kwa media ku hire watu ambao wamecheza mpira na wameusomea mpira ili wakiwa field