Huyu mwandishi yupo field? Mbona amemkosea adabu kocha Gamond kwa swali la kiudhalilishaji alilomuuliza?

wewe itakua ndiye huyo mwandishi. unajaza uzi kwa comments zako za kujirudiarudia. pangilia maswali yako kabla ya interview.
Hakuna kibaya kilichoulizwa hapo Kila kitu kipo wazi labda kama upeo wako mdogo.
 
ajibu swali

ni swali zuri kabisa na halina changamoto,angekua ameshinda kisha akaulizwa hilo swali wala kusingekosekana jibu tena la kajida
 
Simba pts 25
Yanga pts 24
Singida pts 23
.
.

Bado game 20. Mwandishi usikute Alisomea elimu ya kulea watoto
 
AZIZ ki awekwe benchi, kiwango chake kimeshushwa na MABETO.
Nabi alimuweka Aziz bench, akatumiwa Mudadhir na Feisal, sasa anajilazimisha.
Wanayanga mnaweza kumuonya MABETO otherwise jiandaeni kushika nafasi ya nne.
 
Mashimo yametia moshi nguchiro wanajitokeza nje!
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC.
 
 

Attachments

  • IMG-20241108-WA0000.jpg
    142.6 KB · Views: 2
  • 20241107_210359.jpg
    93.4 KB · Views: 2
Kuna kitu kinanifurahisha sanaa,yani Makolo wao washajiona ni mabingwaa naona wamempumzisha Mangungu kipindi hiki...
 
Kuzidiwa point moja tena katika round ya 10, kweli uanze kuitoa Yanga kwenye mbio za ubingwa?
 
Simba pts 25
Yanga pts 24
Singida pts 23
.
.

Bado game 20. Mwandishi usikute Alisomea elimu ya kulea watoto
Si kwamba mwandishi hakujua, ila alihitaji kujua reaction za Gamondi kuhusiana na mbio hizi. Ikumbukwe juzi tu Gamondi aliitolea shombo Singida BS baada ya kuishinda
 
AZIZ ki awekwe benchi, kiwango chake kimeshushwa na MABETO.
Nabi alimuweka Aziz bench, akatumiwa Mudadhir na Feisal, sasa anajilazimisha.
Wanayanga mnaweza kumuonya MABETO otherwise jiandaeni kushika nafasi ya nne.
Kuna shabiki yake humu ndani humuambii kitu akakuelewa kuhusu Azizi Ki

ukikaidi utapigwa2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…