Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
Aise,kuna ya kuvumilia sio yote eti kisa ni mzazi. Mzazi ambaye haielewi Hali yako yy anachotaka ni pesa na hataki kujua utpataje,mbaya zaidi anakubeza wakati yy alishindwa maisha,sio haki. Kama anajua kupata pesa ni rahisi,yy alishindwaje kupata hizo Lesa ujanani? Wazazi wengine hawatendi haki kwa watoto wao.Mzazi ni mzazi, jaribu kubeba madhaifu yake. Wametuvumilia kwa mengi sana wazee wetu.
Inaonekana mzazi/wazazi wako walikuwa wapambanaji ujanani,hongera zake. Yaani Wale wazazi ambao walifeli maisha ni shida Sana,Wana maneno magumu Sana kwa watoto wao Hadi hasira, yaani machungu ya kushindwa maisha wanahamishia kwa watoto wao.Mimi mzazi wangu hajawahi kuniomba kitu. Sema huwaga tu mara kwa mara namtumia jax ale hata mvinyo.
aiseewenzio wenye umri kama wa kwako wameishajenga
Wee jamaa umemchokoza mzee wa ManzeseMzazi wako bora angepiga punyeto, ametuletea kitu cha ajabu hapa duniani, unekuja duniani kutujambia tu
Mimi akiniambia wenzio Wana maendeleo kukuliko na mm namwambia wazee wenzio kama ww Wana Magari mbona husemi?Wakuu hivi na nyinyi mna wazazi wenye tabia kama hii ya huyu wa kwangu..pindi akiomba msaada utakapomuambia huna kitakachofuata hapo ni kashfa na kejeli..mfano ohhoo wewe mwizukulu kwanza umechelewa kimaisha wenzio wenye umri kama wa kwako wameishajenga..kwanza umebakisha miaka michache ufikishe miaka 40 na huna kitu..π na hali ya kuwa hata kitanda anacholalia ni mali yangu. Ukiwa unampa ushauri hakubali inafikia muda mnakuwa kama mnashindana kwa maneno au mnabishana...ukimpa ushauri unapitia sikio la kushoto unatokea la kulia.. ni mbinafsi balaa yeye anachojali ni kuona mambo yake yanafanikiwa..wewe hata ungefirisika ukakosa hata nauli ya kukurudisha ulipotoka utajua mwenyewe..
Una mzazi bora sana anakuambia hayo maneno ili upate uchungu moyoni mwako uongeze kasi yako ya utafutaji mwisho wa siku wewe ndio utafaidika kwa kuishi maisha mazuriWakuu hivi na nyinyi mna wazazi wenye tabia kama hii ya huyu wa kwangu..pindi akiomba msaada utakapomuambia huna kitakachofuata hapo ni kashfa na kejeli..mfano ohhoo wewe mwizukulu kwanza umechelewa kimaisha wenzio wenye umri kama wa kwako wameishajenga..kwanza umebakisha miaka michache ufikishe miaka 40 na huna kitu..[emoji16] na hali ya kuwa hata kitanda anacholalia ni mali yangu. Ukiwa unampa ushauri hakubali inafikia muda mnakuwa kama mnashindana kwa maneno au mnabishana...ukimpa ushauri unapitia sikio la kushoto unatokea la kulia.. ni mbinafsi balaa yeye anachojali ni kuona mambo yake yanafanikiwa..wewe hata ungefirisika ukakosa hata nauli ya kukurudisha ulipotoka utajua mwenyewe..
Ni somo zuri kwa vijana wanaopitia hayo. Wajitengenezee uzee wao wakiwa bado na nguvu na kuwawezesha vijana wao ili baadae wasije kuwa wategemezi kupitiliza kwa vijana wao ambao nao wanajenga familia zao na uzee wao.Inaonekana mzazi/wazazi wako walikuwa wapambanaji ujanani,hongera zake. Yaani Wale wazazi ambao walifeli maisha ni shida Sana,Wana maneno magumu Sana kwa watoto wao Hadi hasira, yaani machungu ya kushindwa maisha wanahamishia kwa watoto wao.
Ndugu, inaonekana ww ulilelewa na wazazi ambao ni waelewa Sana,hawakutumia au kukufanyia Mambo kukuumiza roho.Mzazi ni mzazi tu ata akiwa jambazi. Usitoe siri za madhaifu ya wazazi wako, waheshimu na uwapende pamoja na udhaifu wao. Shika adabu yako.
Hakika, ila heshima kwa wazazi ni amri pekee ya Mungu yenye reward,. Heshimu wazazi upate miaka mingi na kheri duniani.Ndugu, inaonekana ww ulilelewa na wazazi ambao ni waelewa Sana,hawakutumia au kukufanyia Mambo kukuumiza roho.