Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
- Thread starter
- #21
Maneno kama haya mimi nayaita ni kashfa na kejeli.....kama kweli angekuwa mwamba asingekuwa ananililia shida zakeMimi akiniambia wenzio Wana maendeleo kukuliko na mm namwambia wazee wenzio kama ww Wana Magari mbona husemi?