Huyu mzee ni Mtanzania? Mbona huwa anatrend sana?

Huyu mzee ni Mtanzania? Mbona huwa anatrend sana?

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
20230527_092907.jpg
 
Huyu mzee alisafirisha kijana uingereza kwa ahadi ya kumtafutia kazi..

Kumbe alipelekwa kule akavunwe firigisi yake ili awekewe mtoto wa huyo mzee tajiri..
Jamaa alivyokuwa haelewi elewi wale madokta ndo wakaona isiwe kesi wakambumburua jamaa kwamba akimbie asigeuke nyuma
 
Huyu mzee alisafirisha kijana uingereza kwa ahadi ya kumtafutia kazi..

Kumbe alipelekwa kule akavunwe firigisi yake ili awekewe mtoto wa huyo mzee tajiri..
Jamaa alivyokuwa haelewi elewi wale madokta ndo wakaona isiwe kesi wakambumburua jamaa kwamba akimbie asigeuke nyuma
Hivi binadamu tuna firigisi? Nahisi umechanganya mambo!
 
Back
Top Bottom