Fafanua.
Hivi binadamu tuna firigisi? Nahisi umechanganya mambo!Huyu mzee alisafirisha kijana uingereza kwa ahadi ya kumtafutia kazi..
Kumbe alipelekwa kule akavunwe firigisi yake ili awekewe mtoto wa huyo mzee tajiri..
Jamaa alivyokuwa haelewi elewi wale madokta ndo wakaona isiwe kesi wakambumburua jamaa kwamba akimbie asigeuke nyuma
Atakuwa kakusudia figo(kidneys)Hivi binadamu tuna firigisi? Nahisi umechanganya mambo!
Hahaha.....! NashukuruAtakuwa kakusudia figo(kidneys)