GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kama Kucheza Kisela ( Kihuni ) ni Kuishusha Thamani je, ule Uhuni wa Beki wa Spain na iliyokuwa Real Madrid Sergio Ramos huashushi / haukushusha Thamani Ligi zao?"Wahuni Yondani na Nyoso watashika sana nanihii yake"
Mfumo wa Ligi unapaswa kubadilika. Wahuni wasiendekezwe ili kuimarisha ligi yetu na kuiongezea thamani.
Genta, ligi yetu haina thamani ya ligi wanayocheza wakina Ramos. Matukio machache yanayotokea la liga au Epl yana impact ndogo kwenye demand ya wachezaji kutaka kucheza hiyo ligi. Sasa sisi na thamani yetu tukiiga tembo kunya tutashindwa kusajili hata waafrika wenzetu wanaofanya vizuri.Karma Kucheza Kisela ( Kihuni ) ni Kuishusha Thamani je, ule Uhuni wa Beki wa Spain na iliyokuwa Real Madrid Sergio Ramos huashushi / haukushusha Thamani Ligi zao?
Mkuu umesikia kuwa mnaanzia mchangani msimu huu? Na possible opponent wenu ni PETRO LUANDA, ZAMALEK na YANGA.Karma Kucheza Kisela ( Kihuni ) ni Kuishusha Thamani je, ule Uhuni wa Beki wa Spain na iliyokuwa Real Madrid Sergio Ramos huashushi / haukushusha Thamani Ligi zao?
Usisahau mnaanzia mchangani tofauti na mlivyojinasibu kuwa mnaanzia juu, hivyo basi tunataka kuona nani ataondoshwa mapema safari hii, na wale waangola wanawasubilia kwa hamu kubwa na timu yenu hiyo yenye kumtegemea kibu Denis na mzungu🤣🤣🤣Fraga mpaka Bange alishaanza Kuvuta na alikuwa anafika ( anagongana ) na Kukichafua huku Ukijipendekeza unakula ama Ndole au Kipepsi na Kutulia hadi akawa anaogopwa na Wachezaji wa Timu Pinzani.
Kwa huyu Mzungu Mserbia wenu ( ambaye GENTAMYCINE simkubali ) kwa nilivyomuona tu Pichami alivyo Mrembo ( Byuti Byuti ) najua Marafiki zangu Wachezaji Wahuni Yondani na Nyoso watashika sana nanihii yake ( watam John Boko ) huku muda mwingine wakimpiga hata Ndoo ( Vichwa ) ili kumtoa Mchezoni na Kumuogopesha.
Atajuta kuifahamu Tanzania huyu!!!!
Fraga mpaka Bange alishaanza Kuvuta na alikuwa anafika ( anagongana ) na Kukichafua huku Ukijipendekeza unakula ama Ndole au Kipepsi na Kutulia hadi akawa anaogopwa na Wachezaji wa Timu Pinzani.
Kwa huyu Mzungu Mserbia wenu ( ambaye GENTAMYCINE simkubali ) kwa nilivyomuona tu Pichami alivyo Mrembo ( Byuti Byuti ) najua Marafiki zangu Wachezaji Wahuni Yondani na Nyoso watashika sana nanihii yake ( watam John Boko ) huku muda mwingine wakimpiga hata Ndoo ( Vichwa ) ili kumtoa Mchezoni na Kumuogopesha.
Atajuta kuifahamu Tanzania huyu!!!!
Sio walivyojinasibu. Kitaratibu zilizokuwepo ilikuwa aanzie mbele,nafikiri CAF wanabadilisha sheria ili kuweza kuzi’accomodate’ baadhi ya timu ambazo hazina uwezekano wa kuqualify ila vyama vyao vya soka vilishapeleka majina.Usisahau mnaanzia mchangani tofauti na mlivyojinasibu kuwa mnaanzia juu, hivyo basi tunataka kuona nani ataondoshwa mapema safari hii, na wale waangola wanawasubilia kwa hamu kubwa na timu yenu hiyo yenye kumtegemea kibu Denis na mzungu🤣🤣🤣
Genta umesema ukweli, Mimi nikiwa mcheza mpira ingawa ilikua level za UMISETA nk kitu pekee kilichokuwa kinafanya niheshimike kama Beki ni Buti, ilifika hatua hadi kocha ananisifia kwa Ujinga huo lkn hakika ilikua inasaidia timu. Kanoute, Dickson Job, Aucho, Mzamiru kwa mbaaaaali wanajitahidi kutumia mbinu hizo ingawa bado hazijafikia hadhi ya akina Yondani, Bosou, Viera, De Jong nk.Fraga mpaka Bange alishaanza Kuvuta na alikuwa anafika ( anagongana ) na Kukichafua huku Ukijipendekeza unakula ama Ndole au Kipepsi na Kutulia hadi akawa anaogopwa na Wachezaji wa Timu Pinzani.
Kwa huyu Mzungu Mserbia wenu ( ambaye GENTAMYCINE simkubali ) kwa nilivyomuona tu Pichami alivyo Mrembo ( Byuti Byuti ) najua Marafiki zangu Wachezaji Wahuni Yondani na Nyoso watashika sana nanihii yake ( watam John Boko ) huku muda mwingine wakimpiga hata Ndoo ( Vichwa ) ili kumtoa Mchezoni na Kumuogopesha.
Atajuta kuifahamu Tanzania huyu!!!!