Huyu Nabii Geordavie ana utajiri kiasi gani? Ampa Paul Makonda Land Rover zaidi ya 10 huko jijini Arusha!

Huyu Nabii Geordavie ana utajiri kiasi gani? Ampa Paul Makonda Land Rover zaidi ya 10 huko jijini Arusha!

Wakuu,

Clouds FM kupitia ukurasa wake wa Twitter, wameposti video inayoonesha magari aina ya Land Rover zaidi ya 10 ya nabii huyo, magari ambayo anaenda kumpa kwa muda mkoa wa Arusha, Paul Makonda kwa ajili ya tamasha la Land Rover Festival.

Swali langu, tuseme at the cheapest price kila Land Rover linacost Milioni 70, magari ambayo yanaonekana kwenye video ni kama 10 maana yake hapo ni zaidi ya Tsh Milioni 700. Hayo ni tuliyoyaona.

Huyo Geo Davie ametoa wapi pesa nyingi hivi?

Mchezo wa nikupe unipe, Makonda ndiyo zake hizo.
 
Inasemekana manabii wengine Eti wanatoaga hadi makafara ya damu za Watu wao wa karibu kama vile mtoto, mke, mzazi n.k
je hii yaweza kuwa kweli ?
 
Nilikwenda kule siku moja,siku moja tu.
Watu wakawa wanaitwa mbele kutoa sadaka,halafu wanarudi kukaa.
Karibu mara ishirini.
Halafu akaja huyu mdada kashika mike akasema,"Okay,imetosha mambo ya utani. Sasa tunataka watu waanze rasmi kuanza kutoa sadaka."
Nimekasirika,nimeondoka.
 
Wakuu,

Clouds FM kupitia ukurasa wake wa Twitter, wameposti video inayoonesha magari aina ya Land Rover zaidi ya 10 ya nabii huyo, magari ambayo anaenda kumpa kwa muda mkoa wa Arusha, Paul Makonda kwa ajili ya tamasha la Land Rover Festival.

Swali langu, tuseme at the cheapest price kila Land Rover linacost Milioni 70, magari ambayo yanaonekana kwenye video ni kama 10 maana yake hapo ni zaidi ya Tsh Milioni 700. Hayo ni tuliyoyaona.

Huyo Geo Davie ametoa wapi pesa nyingi hivi?

Amempa kivipi..? Ameruhusu gari zake zishiriki yale maonyesho ya makonda ya magari... uthibitisho upi unaonyesha amepewa
 
Hizi gari unakuta hakuna hata moja amenunua kwa pesa yake, unakuta mtu kaombewa na akaamini alichokuwa anakitaka na akakipata, sasa shukrani yake yeye ni kutoka zawadi ya gari

Ukiwa na wingi hutoa chochote na ukiwa na uhaba, huna chakutoa..

Kuna kanuni ya huwezi kupokea bila kutoa, hao waumini wa huyo jamaa wanaonekana wajinga lakini utakuta mtu huyo huyo anayewaona wenzake wajinga, kuna msikiti au kanisa kama hilo analoenda kutoa sadaka hiyo hiyo.
 
Kwani ulitoa ngapi kabla ya hapo ?
Sikumbuki.
Lakini nilitoa kitu kidogo.
Niliandika posting wakati nipo pale pale Kanisani.
"Nipo kwa Geordavie. Yeye mwenyewe hayupo. Ameenda kuhani kifo cha mtoto wake.
Watu hapa nadhani wamekwenda mara ishirini kutoa sadaka."
Akaniuliza mtu,Wamekwenda mara ishirini?
Nika revise maneno yangu kwa sababu nilikuwa sihesabu consciously.
Nikasema wametoa sadaka at least ten times.
 
Waumini wanatoa sadaka zinazoliwa na kiongozi wao,kisha wakisikia HAMAS wameuawa wanasema mungu wa waisrael anatenda,ilhali ni military aid from U.S
MAPUMBAVU HHAYATAISHA
Tafuteni amani, vinginevyo mtagongwa na mzayuni siku zote. Turudi kwenye topic ya land rover sasa
 
Nimimi mshambaa au ni muoldii skul,kuna range rover na land rover....hizi naona kama range rover amaaa
 
Back
Top Bottom