Huyu naye alikuwa anawaza nini kumuoa Dida?


Pole sana mkuu, dizaini ya mwanamke kama huyo sio rahisi kuishi katika ndoa yenye heshima. Anaonekana mshamba wa matukio na lembukeni wa umaarufu.

Mkuu wapo wanamake wengi sana kitu na boksi and very young. Life is always changing, nothing stays the same. Keep moving na tafuta kabinti kazuri kadogo dogo ule maisha ya raha. Nyumba, magari n,k zote mwembembe tu!
 
Last edited by a moderator:
Mimi nauliza DIDA huyu na DIDA wa Yanga ni couple km ile ya Mkwasa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…