Huyu naye alikuwa anawaza nini kumuoa Dida?

Huyu naye alikuwa anawaza nini kumuoa Dida?

Hahahahaa..niko na mapenzi mengi sana hutothubutu kunikosa.


Leseeeeeni ya kuendesha Bajaj bana!
Af ujue pia kumechicha raba na tisheti
Aftena ujue kupaka piko mashavuni
Kisha simu yako iwe na game
Bila kusahau ujue kuzungusha lips ukiwa unaongea!
Saw a?
 
mbona hizi picha zilitokaga vibaya hivi?

Hii je?

photo.jpg
 
Jamani MTU anaumia nyinyi mnamnanga, acheni hizo ndoa ndoana, nataka nimuoe Dida nimtulize huyu ajui kilichompeleka, alishindwa kuendesha mashine ya kusaga na kukoboa akatoa chenga a cha aachishwe.
 
Mapenzi haya mpaka Mkabadilisha na lugha nyumbani mnatumia lugha ya kikoloni ha!ha!
 
Leseeeeeni ya kuendesha Bajaj bana!
Af ujue pia kumechicha raba na tisheti
Aftena ujue kupaka piko mashavuni
Kisha simu yako iwe na game
Bila kusahau ujue kuzungusha lips ukiwa unaongea!
Saw a?

haa haa naona siku yako inataka kuwa njema....okota dhahabu hiyo dada chakuokota si cha kuiba mwenye mali ni mjinga
 
Acha upuuzi we, jambo usilolijua ni kama usiku wa giza, unatumia vigezo gani kumwita mtu "anafugwa"..!? Ezden na Dida wameanza uhusiano zamani sana kabla hata hajamiliki hayo magari.

Watu wengine hawana mawazo ..hawaujui undani wao
 
Masuperstar hawaoleki...janamke chefuuuu ..looooh kojooo ..kumbe linatabia mbaya hvo...basi halioleki....n kukaa mwanaume kwake icwe shda ..yy pia anauwezo ...atafanya yake from now
 
Leseeeeeni ya kuendesha Bajaj bana!
Af ujue pia kumechicha raba na tisheti
Aftena ujue kupaka piko mashavuni
Kisha simu yako iwe na game
Bila kusahau ujue kuzungusha lips ukiwa unaongea!
Saw a?

Kama ndo ivyo kikinuka we si utaninyang'anya hata simu ya kuitia bajaji..hehe
 
Dida ana "ujimama" gani kwa Ezden? mnatumia vigezo gani kumwita Ezden dogo?

wewe habu tuondolee kichefuchefu hapa huyo pimbi mwenzanko si wa kwanza, mbona kopa alikuwa akimbemenda kitoto kimoja kilikuwa ni diwani wa magomeni bagamoyo.
 
Back
Top Bottom