Nenda karibu na kituo chochote cha afya kilicho karibu yako watakupatia mkuu, ila msimamo wangu ni ule ule nataka mtoto.Amani yangu nimehitimisha ni kukataa mimba
Sasa nataka ushaurii wa uzazi wa mpango
Kuzaa si mpaka pesa au awe na hela, kama umemuelewa we zaa tu; wengine upenda mbegu tu.
Kwahiyo unataka kumchezea kamchezo[emoji23]......akiona hushiki si ataanza kukuhisi huzai[emoji23]Mimi nataka njia salama za kujitumia kuepuka mimba
Nenda karibu na kituo chochote cha afya kilicho karibu yako watakupatia mkuu, ila msimamo wangu ni ule ule nataka mtoto.
mimi binafisi natafuta wa ubavu njoo kwangu, mimi nakuoa kabisa utazaa ndani ya ndoa, njoo pm
Kwahiyo unataka kumchezea kamchezo[emoji23]......akiona hushiki si ataanza kukuhisi huzai[emoji23]
Hili bom litakulipukia.....
Aha.....hi inaweza kua sababu kabisa...hii imekaa kiakili[emoji23] mapenzi ni kama game eti....
We nishakuelewa hutaki ndoa unataka goodtime[emoji23]Hahahahaha na yeye hako kamchezo kasema nisitumie kabisaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Njia salama ni Kuvaa Condom tu aisee kutokucheza mechi zisizo na ulazima wakati Taa nyekundu inawaka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We nishakuelewa hutaki ndoa unataka goodtime[emoji23]
Njoo nikuoe uwe mke wa saba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aiseee sijazaa bado ila kwa hizi kesi duniani sipo tayari kwa hilo
Halafu mimi sina kazi ya kumlisha huyo Mtoto kila kitu namtegemea yeye kiufupi yeye ndio boss wangu mjini sasa unafikiri akibadilika mbeleni mimi si inakula kwangu na nyie hamuoi singo maza
Njoo nikuoe uwe mke wa saba
Sawa, uje uchukue mbegu boraBora nizae tu[emoji23]
Kumbe jibu unalijua then unakuja kuomba ushauri..🤔[emoji23][emoji23][emoji23]ndio vijana wa sasa
Wewe ni kiwanda ndio maana una mifumo yote ya uzazi kwa ajili ya kutotolesha, kwani wewe unataka mimi nifanye nini kwanza ili ukubaliane na ombi langu la kunizalia?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mimi sio kiwandaaa cha kutotoleshaaa
Kumbe jibu unalijua then unakuja kuomba ushauri..[emoji848]
Muhuni mwenyewe ndo uyo sasa by the way me nazan8 ndoa sio kipimo cha kuto kuachwaUnachezea bahati yako utakuja kuzalishwa na mhuni na atajutia maisha yako kua singo maza.