Kwani hili nalo linahitaji ushauri kweli..🤨[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamani kwanini sasa
Basi mwambie jamaa unataka migegedo tu saivi[emoji23] akikataa achana nae mtafute Mzee wa kupambania yuko vizuri[emoji23]Naitaka ila Mtoto sitaki mapema badoo
Unavyojifanya unaulizia njia za uzazi wa mpango kama ndiyo kwanza umeanza kuliwa sasa!
Tena uwe makini nyie slay queen mnao komaa na ndoa wengi mnaangukiaga pua,
Tumia hayo madawa alafu uwe kwa ndoa ukose mtoto ndiyo utajua ndoa ndoano!
Najua mengi tu mpaka sindano,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu bwanaaa
Haya nipe hayo madawa nitumie
Hivi mkuu,umezalisha wangap mpaka sasaKama anazingua, njoo uzae na mimi
Wanasema kuzaa n mapenzi ya mungu asa anataka mtoto usipopata itakuwaje? , Hata kama mtafunga ndoa bila mtoto hawezi ishi na ww .kumbe maisha n vile unataka wwNyie wa ndugu ni wazima
Tuna mahusiano ya mwaka 1… mwezi Kama huu ndio tulijuana kisha akaenda abroad now amerejea ila anataka tuzae
Suala la ndoa anasema on process nikiwa tayari nina kibendi sababu ni kwamba naweza kumkimbiaa[emoji23][emoji23]
Mimi kwasasa sina kazi namtegemea yeye hilo suala la kuzaa kwasasa nimelipingaa lolote linaweza kutokea huko mbeleni
Ushaurii wenu ni njia salama za kujikinga na mimba
Na kwa waliowahi kutumia na hazija waathiri
NB: mimi sijawah kutumia njia yoyote ya uzazi wa mpango so nataka nianze kutumia now
[emoji1787][emoji1][emoji1]
Nyie wa ndugu ni wazima
Tuna mahusiano ya mwaka 1… mwezi Kama huu ndio tulijuana kisha akaenda abroad now amerejea ila anataka tuzae
Suala la ndoa anasema on process nikiwa tayari nina kibendi sababu ni kwamba naweza kumkimbiaa[emoji23][emoji23]
Mimi kwasasa sina kazi namtegemea yeye hilo suala la kuzaa kwasasa nimelipingaa lolote linaweza kutokea huko mbeleni
Ushaurii wenu ni njia salama za kujikinga na mimba
Na kwa waliowahi kutumia na hazija waathiri
NB: mimi sijawah kutumia njia yoyote ya uzazi wa mpango so nataka nianze kutumia now
[emoji1787][emoji1][emoji1]
Kama mpunga upo sio mhuniKwaiyo nitajuaje Kama huyu sio muhuni??? Watu wanabadilika
ha ha ha ucheshi tu mkuuHivi mkuu,umezalisha wangap mpaka sasa
Najua mengi tu mpaka sindano,
Ila Sasa kipindi unachelewa kupata mtoto na upo kwa ndoa miaka tano usikomae na mafuta ya mwamposa ujue ulichotumia!
Hela na huduma kutoka kwake unazihitaji na kuzipata ila mimba kutoka kwake huhitaji
Wanasema kuzaa n mapenzi ya mungu asa anataka mtoto usipopata itakuwaje? , Hata kama mtafunga ndoa bila mtoto hawezi ishi na ww .kumbe maisha n vile unataka ww
Sasa faida ya kuchakatana ni nini kama hautazaa nae?Suala la kunihidumia mimi na kuhudumia Mtoto ni tofauti Mtoto anahitaji maziwa pampas kuna kuumwa tofauti na mimi mtu mzima ambae wazazi wangu wapo hai pia naweza kukabiliana na mazingira ya njaa Mtoto hawezi hilo
Huyo jamaa inaoneka hataki kuoa anataka mtoto , ila kama jamaa ndo provider wa kila kitu hata ukipata mimba inaonesha hawezi kukuacha umlee mwenyewe, sasa wewe zubaa uskie jamaa kaoa aliyebeba mimba maana usidhani upo mwenyewe, kuna mtu huko ambaye atakua hata hampendi ila akishabeba mimba atamuoa wewe ukibaki kutumia njia za uzazi wa mpango
Kama anazingua, njoo uzae na mimi
Unamtegemea, unampenda, kaahidi kuoa, kuzaa hutaki, ukichaa is real...
Wamuachie tu yule jamaa wa magunia mawili....
Unampa Mtoto Uji Analia Tu Unammenyea Yai Analia Tu
Unampa Kwenye Kikombe Anakitupa , Hapo Unamzabua Kofi Moja Uone Akavyobugia Uji Wote Haraka Haraka
Ndugu Zangu Zaeni Acheni Masuala Ya Kupanga Uzazi Hata India Na China Ziliendelea Kwa Idadi Ya Watu,
By Mzilankende