Huyu ndie Baba yake Bob Marley



Mama wa Bob hajawahi kuitwa Marley, jina lake halisi ni Cedella Booker. Baada ya Bob kuzaliwa hawakuwa na uhusiano tena na mama akamlea mwanae peke yake. Hizo porojo zako nyingine haziniingii akilini, maana iwe mzungu, mwafrika au muasia ukiwa na miaka 30 huwezi kuwa confortable na mpezi wa miaka 60, sembuse kisichana cha miaka 17 au 18? Fcuk the stupid laws. Hizo ndizo ndizo zinazofanya vitoto huko Yemen na nchi nyingine za kiarabu kukosa uhuru wa kuishi maisha yao.
 


Kasome post namba moja uone jina lipi limetumika.
 


PAGAN

Soma hiyo.
 

Uzi mmzuri wa legend. Unaanza matusi.

Umri ulioandikwa kwenye post namba moja ni miaka 18, hiyo 17 unaitowa wapi?

Umeambiwa ili mtu aitwe Pedo ni lazima awe na umri wa miaka 1 au zaidi na victim awe na miaka 13 au chini ya hapo.

Yemen imehusu nini? Au mama'ke Bob ni Myemen au baba'ke?

Sheria hizo nilizokuwekea ni za Great Britain ambayo iliitawala Jamaica na Yemen pia.

Na nimekueleza hata hapa kwetu ni juzi juzi tu sheria ya ndoa ilikuwa ni miaka 14 na sasa nadhani ni 15 kaa haijabadilishwa.

Labda uwe na tatizo lingine, kwa miaka 18 iliyotajwa kwenye uzi namba moja na kwa jina la mmama'ke Bob Marley liliwekwa nadiriki kusema hakuna Pedo hapo.

Tena nimeuliza, mchepuko huwa anatumia jina bwana'ke?

Sasa wewe utueleze kuwa mleta mada haelewi alichokileta na ubishane nae kuhusu hilo jina la ukoo, au walikuwa ndugu na surname yao moja?
 
Ilijulikana
Hivo baada ya kuzaa na huyo Baba, lakini haikuwa official name, kama Bob Marley aliweza kutumia ubini WA babake hakumnyimi mamake kutumia jina Hilo pindi akijiskia, so she's okay with that.
 
Bila kuangalia sheria lakin tabia za kifataki haziruhusiwi, tofautisha Kati ya kuolewa Na kuoa, pamoja na mwanaume kuwa Na tabia za kifataki
 
Bila kuangalia sheria lakin tabia za kifataki haziruhusiwi, tofautisha Kati ya kuolewa Na kuoa, pamoja na mwanaume kuwa Na tabia za kifataki


Miaka 18 kuna ufataki hapo?

Fataki ni yule anaerubuni watoto wadogo na au wa shule.
 
Miaka 18 kuna ufataki hapo?

Fataki ni yule anaerubuni watoto wadogo na au wa shule.
Unarudi kule kule kwa mwanzo, huyo baba alikuwa Na tabia za kifataki Na sio kwamba alitembea Na mamake bob Tu Bali ilikuwa ndo tabia yake
 
Ilijulikana
Hivo baada ya kuzaa na huyo Baba, lakini haikuwa official name, kama Bob Marley aliweza kutumia ubini WA babake hakumnyimi mamake kutumia jina Hilo pindi akijiskia, so she's okay with that.
Huo ni upuuzi ama ukarekebishe pale post namba moja.

Mtoto ndiye anampangia mama'ke jina la kutumia?

Ndiyo kwanza leo nasikia argument ya kijinga namna hiyo.

Soma hii:

Marley’s mother Cedella began her romance with Captain Norval Marley, a colonial supervisor, when he was fifty years old and she was merely seventeen (Davis 9). Norval Marley’s family was made up of white Jamaicans from the parish of Clarendon. Norval was relocated for work purposes to St. Ann where Cedella had grown up and resided. Cedella recalls that


“He told me he loved me, and I believe that he did. He was always honest with me in that time. He told me he was the black sheep of his family, because the Marley’s did not like black people, but Norval liked them very much.”

Source: “My fadda was a guy yunno, from England here, yunno


Hapo kulikuwa na mapenzi, hakubakwa wala hakurubuniwa na alikuwa tayari mkubwa kwa sheria, ameanza mapenzi akiwa na miaka 17. Hiyo ni allowable age ya ndoa kwa wakati huo.
 


Huyo bibi alianza lini kuitwa Cedella Bocca?
 
Tukuamini wewe PAGAN bushland au tuiamini BBC ambacho ni moja ya chombo kikubwa cha habari duniani?

Bob's father, at the age of about 60, met and later married 18-year-old Cedella Malcolm, while working as a supervisor on a plantation in Jamaica.

In February 1945, she gave birth to Nesta Robert (Bob) Marley and the couple separated not long after.

Source: World War One: Bob Marley's father 'neurotic and incontinent' - BBC News
 
Enzi hizo wazungu walitembea na weusi wanaovutia na wakiwazalisha watoto wanakuwa maids kwa wake zao, angalau kazi hiyo ni nyepesi kuliko kulima shamani.
 
I like the way u argue with points...thumbs up!


Hawa watoto wanatuona tumezeeka lakini hawajui kuwa wanavyomjuwa wao Diamond ndiyo sisi tunamjuwa Bob, tumekuwa tunaimba na kucheza nyimbo zake (Mungu atusameh) tunazijuwa nyimbo zake zote kwa kichwa, tunaijuwa story yake yote.

Watuulize tuwaeleze, wamsikilize na mama'ke hapa:

 
Jambo ukilijua raha sana, yan unaongea umetulia kbs[emoji109]
 


BBC ni Royal funded propagation media, na baba yake Marley alikuwa mwakilishi wa wakoloni Jamaica, so what do you expect? Very complicated story, when they met, a baby born & the separation alikuwa 18 tu. Ukweli usioandikika na BBC ni kwamba huyu mzee kama ilivyokuwa wazee wengine wa kizungu ilikuwa ni tabia yake kuwatumia na kuwakalia wasichana wadogo wa kiafrika. Maneno matamu ndio tabia ya pedos, huwa hawatumii nguvu ni walaghai wakubwa.
 
Stop sucking this woman. Kila mtu anajua habari za Bob Marley. Google na wewe kama anavyofanya utaona matokeo.
Ofcoz in thz dyz @thng ipo kw fingertips naeza ku-google bt mtu anaeongea kw kuelewa(km una ufahamu mkubwa) utamuelewa tu tofauti na aliyekariri
 
Ofcoz in thz dyz @thng ipo kw fingertips naeza ku-google bt mtu anaeongea kw kuelewa(km una ufahamu mkubwa) utamuelewa tu tofauti na aliyekariri


Inaitwa copy and paste. It's very easy, even an idiot can do it.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…