Wangekuwa watu mngesema uchawi, kumbe ni jambo la kawaida tu kunatiana.Hapo vip!!
Leo katika pita pita zangu nikawakuta watu wanashangaa mbwa wawili walionatiana tokea asubuhi mpaka jioni.
Duh!!nikagindua Katika wanyama wote anayefaidi penzi sana ni mbwa,wengine wote mbwembwe tu mapenzi tumuachie mbwa.
Hivi kuna mnyama mwingine anayemzidi mbwa kwa kufanya mapenzi kwa muda mrefu?
Tena wanyama wanachofanya ni kwaajili ya kutafuta watoto tu matingKwenye kichwa cha habari kina neno "mapenzi", lakin post ni about sex(tena animal sex).
Kuna tofauti kubwa kati ya mapenz na sex.
wanyama kama mbwa wanafanya sex,na hayo si mapenzi.
Wanadamu tuna mapenzi, mtu kumpenda mwenzie,kwa wanadamu sex iko ndani ya mapenzi. mwanadam si kama hao mbwa uliowasifia.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Nikajuwa ni Zari na Dai
[emoji85] [emoji85] [emoji85]Kuachiana mpaka apige goli 12, mbwa anapiga bao nyingi kweli kweli
Mkuu usinikumbushe hao wanyama, wanaparamia mizinga ile mbaya na kupora asali yoteHuwajui nyegere wewe
Hakya Mungu watu humu ndani mmevurugwa[emoji3] [emoji3] au ni hii hali ya maisha nn!?Huwa wanatiana vizuri lakini![emoji53][emoji53][emoji53]
haaaa haaaa haaaa hao nyegere hawarini asali bali wanaikomesha. Hatari Sana hao wanyamaMkuu usinikumbushe hao wanyama, wanaparamia mizinga ile mbaya na kupora asali yote
Wanakula nini?Mnyama mwingine ni simba, wao huamua kujitenga wawili kwa muda wa siku kama tano hivi, kwa siku tatu za mwanzo dume hula mzigo kila baada ya dakika 15, so mara nne kila saa kwa siku tatu za mwanzo baada ya siku ya tatu intavali hupungua. Kwa kipindi chote hicho wanajitenga na Pride na pia hawawindi
Mbwa ni simple tu hata masuala ya chura[emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196]Huwa wanatiana vizuri lakini![emoji53][emoji53][emoji53]
Huyu anafanya mara25 kwa sikuKicheche ndo balaa
[emoji23][emoji23][emoji23]Mbwa ni simple tu hata masuala ya chura[emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196]
hawana habari nayo [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]