Huyu ndie kiumbe anayefaidi mapenzi Duniani wengine wote mbwembwe tu.

Huyu ndie kiumbe anayefaidi mapenzi Duniani wengine wote mbwembwe tu.

Hapo vip!!

Leo katika pita pita zangu nikawakuta watu wanashangaa mbwa wawili walionatiana tokea asubuhi mpaka jioni.

Duh!!nikagindua Katika wanyama wote anayefaidi penzi sana ni mbwa,wengine wote mbwembwe tu mapenzi tumuachie mbwa.

Hivi kuna mnyama mwingine anayemzidi mbwa kwa kufanya mapenzi kwa muda mrefu?
Wangekuwa watu mngesema uchawi, kumbe ni jambo la kawaida tu kunatiana.
 
Kunatiana sio ndio kuenjoy mapenzi,unajuaje nao kawa wamewekewa tego na mbwa wenziwe????wako kuhangaika kujinasua ni vile hawajui lakufanya,....

Halafu nyani ndio anafaidi mapenzi.
 
Kwenye kichwa cha habari kina neno "mapenzi", lakin post ni about sex(tena animal sex).

Kuna tofauti kubwa kati ya mapenz na sex.
wanyama kama mbwa wanafanya sex,na hayo si mapenzi.

Wanadamu tuna mapenzi, mtu kumpenda mwenzie,kwa wanadamu sex iko ndani ya mapenzi. mwanadam si kama hao mbwa uliowasifia.
Tena wanyama wanachofanya ni kwaajili ya kutafuta watoto tu mating
 
Kakakuona ndo noma zaidi!! Hawa viumbe Mungu kawapendelea sana kwenye hii idara ya mgegedo!!......!!
.....Nakuja na picha
 
Mkuu usinikumbushe hao wanyama, wanaparamia mizinga ile mbaya na kupora asali yote
haaaa haaaa haaaa hao nyegere hawarini asali bali wanaikomesha. Hatari Sana hao wanyama
 
Mnyama mwingine ni simba, wao huamua kujitenga wawili kwa muda wa siku kama tano hivi, kwa siku tatu za mwanzo dume hula mzigo kila baada ya dakika 15, so mara nne kila saa kwa siku tatu za mwanzo baada ya siku ya tatu intavali hupungua. Kwa kipindi chote hicho wanajitenga na Pride na pia hawawindi
Wanakula nini?
 
Ina maana Leo Nazi yako kutwa mzima ulikuwa unawaangalia hao mbwa tu au nawe watamani ya mbwa?
 
Back
Top Bottom