Huyu ndie kiumbe anayefaidi mapenzi Duniani wengine wote mbwembwe tu.



Nzi, yeye ni kila dakika na wanawake zaidi ya mia kwa siku.....nani anaweza haya bila kujiua?
 
Mkuu, tafadhali utaulizwa maswali utashindwa kuyajibu![emoji3]
 
Huitwa harusi ya simba
 
Kunatiana sio ndio kuenjoy mapenzi,unajuaje nao kawa wamewekewa tego na mbwa wenziwe????wako kuhangaika kujinasua ni vile hawajui lakufanya,....

Halafu nyani ndio anafaidi mapenzi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Eti ...tego...
 
Mbwa ni simple tu hata masuala ya chura[emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196]
hawana habari nayo [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 

Umejuaje au we ni sokwe??
 
Sex = tendo la ndoa(kwa waliiowa au kuolewa) , ngono(kwa ambao bado hawajaoa,au kuolewa). Thats what i mean.
Wewe umeweka neno mapenz kwenye ngono. mbwa wanafanya ngono.
 
Kufaidi ni kuridhika na hali ama tendo,kuridhika yaweza kutokea kwa muda mrefu ama mfupi hivyo mbwa kung'ang'aniana masaa yote hayo haimaanishi ndio wanaofaidi zaidi kuliko viumbe wengine.
 
Kunatiana sio ndio kuenjoy mapenzi,unajuaje nao kawa wamewekewa tego na mbwa wenziwe????wako kuhangaika kujinasua ni vile hawajui lakufanya,....

Halafu nyani ndio anafaidi mapenzi.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kuachiana mpaka apige goli 12, mbwa anapiga bao nyingi kweli kweli
Ndio maana mbwa dume wakizeeka viuno vinakazaaaaa kukaaa chini mpaka aazungukeee weee akishtue ndo awahi akae kuamka napo ni shughuli
 
[emoji23] [emoji23] dah! Mungu si angetupa japo na sisi hako ka uwezo?
 
Kila Mtu kwa upande wake Ndio kiumbe kinachosikia raha sana ya mapenzi Duniani,MAANA ni wewe Mwenyewe Ndio unayeusikia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…