mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 7,074
- 5,486
Hapo vip!!
Leo katika pita pita zangu nikawakuta watu wanashangaa mbwa wawili walionatiana tokea asubuhi mpaka jioni.
Duh!!nikagindua Katika wanyama wote anayefaidi penzi sana ni mbwa,wengine wote mbwembwe tu mapenzi tumuachie mbwa.
Hivi kuna mnyama mwingine anayemzidi mbwa kwa kufanya mapenzi kwa muda mrefu?
Mkuu, tafadhali utaulizwa maswali utashindwa kuyajibu![emoji3]Sokwe ndiye mnyama anayesikia utamu wa mapenzi kuliko mnyama yeyote yule hasa sokwe jike. Sokwe jike akifanya ngono utamu wake anausikilizia kwa masaa 5-6, na baada ya hapo anaweza asiwe na hamu tena ya kufanya mapenzi kwa miezi mingine 6. Baada ya kufanya ngono hutafuta sehemu iliyotulia autafakari utamu huo kwa hayo masaa
Watu hela hawana hata ngono wakose?[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] khaaaHakya Mungu watu humu ndani mmevurugwa[emoji3] [emoji3] au ni hii hali ya maisha nn!?
picha ya chini ni mbwa wakubwa (show ya mbwa wakubwa) na ile ya juu ni show ya mbwa wadogohawa hapa
Tena wanyama wanachofanya ni kwaajili ya kutafuta watoto tu mating
Huitwa harusi ya simbaMnyama mwingine ni simba, wao huamua kujitenga wawili kwa muda wa siku kama tano hivi, kwa siku tatu za mwanzo dume hula mzigo kila baada ya dakika 15, so mara nne kila saa kwa siku tatu za mwanzo baada ya siku ya tatu intavali hupungua. Kwa kipindi chote hicho wanajitenga na Pride na pia hawawindi
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kunatiana sio ndio kuenjoy mapenzi,unajuaje nao kawa wamewekewa tego na mbwa wenziwe????wako kuhangaika kujinasua ni vile hawajui lakufanya,....
Halafu nyani ndio anafaidi mapenzi.
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Mbwa ni simple tu hata masuala ya chura[emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196]
hawana habari nayo [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Sokwe ndiye mnyama anayesikia utamu wa mapenzi kuliko mnyama yeyote yule hasa sokwe jike. Sokwe jike akifanya ngono utamu wake anausikilizia kwa masaa 5-6, na baada ya hapo anaweza asiwe na hamu tena ya kufanya mapenzi kwa miezi mingine 6. Baada ya kufanya ngono hutafuta sehemu iliyotulia autafakari utamu huo kwa hayo masaa
Sex = tendo la ndoa(kwa waliiowa au kuolewa) , ngono(kwa ambao bado hawajaoa,au kuolewa). Thats what i mean.Kwenye kichwa cha habari kina neno "mapenzi", lakin post ni about sex(tena animal sex).
Kuna tofauti kubwa kati ya mapenz na sex.
wanyama kama mbwa wanafanya sex,na hayo si mapenzi.
Wanadamu tuna mapenzi, mtu kumpenda mwenzie,kwa wanadamu sex iko ndani ya mapenzi. mwanadam si kama hao mbwa uliowasifia.
Mbwa kabla hawajanasiana huwa wanapiga miuno sio ya kitoto aisee,ukiwa na mamii wako halafu mkapita sehemu mkakuta mbwa wanagegedana usishangae mamii wako kukwambia mbwa anakushinda kwenye miunohawa hapa
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kunatiana sio ndio kuenjoy mapenzi,unajuaje nao kawa wamewekewa tego na mbwa wenziwe????wako kuhangaika kujinasua ni vile hawajui lakufanya,....
Halafu nyani ndio anafaidi mapenzi.
Ndio maana mbwa dume wakizeeka viuno vinakazaaaaa kukaaa chini mpaka aazungukeee weee akishtue ndo awahi akae kuamka napo ni shughuliKuachiana mpaka apige goli 12, mbwa anapiga bao nyingi kweli kweli
[emoji23] [emoji23] dah! Mungu si angetupa japo na sisi hako ka uwezo?Sokwe ndiye mnyama anayesikia utamu wa mapenzi kuliko mnyama yeyote yule hasa sokwe jike. Sokwe jike akifanya ngono utamu wake anausikilizia kwa masaa 5-6, na baada ya hapo anaweza asiwe na hamu tena ya kufanya mapenzi kwa miezi mingine 6. Baada ya kufanya ngono hutafuta sehemu iliyotulia autafakari utamu huo kwa hayo masaa