MendeHapo vip!!
Leo katika pita pita zangu nikawakuta watu wanashangaa mbwa wawili walionatiana tokea asubuhi mpaka jioni.
Duh!!nikagindua Katika wanyama wote anayefaidi penzi sana ni mbwa,wengine wote mbwembwe tu mapenzi tumuachie mbwa.
Hivi kuna mnyama mwingine anayemzidi mbwa kwa kufanya mapenzi kwa muda mrefu?
mcheki mwenzio Dr Shika.......[emoji1][emoji23] mtoa mada unazingua yaani mm nawaza na kuumiza kichwa kutafuta engineer uingereza aje kunijengea ghorofa la thamani ya bilioni 2 halafu wewe unawaza kuhusu mbwa kufanya mapenzi....
Manii ya mbwa yanatoka kama matone kidogo kodogo na ndio maana akifanikiwa kuingiza dushe kuna kinundu kinafunga dushe haiwezi kutoka mpaka lile bao litoke liishe ndio inalegea inatoka na sio kwamba anapiga mabao mengiKuachiana mpaka apige goli 12, mbwa anapiga bao nyingi kweli kweli
umejuaje hilo?Kuachiana mpaka apige goli 12, mbwa anapiga bao nyingi kweli kweli
Haah!Kiboko.Nikajuwa ni Zari na Dai