air commander
Senior Member
- Jun 10, 2024
- 147
- 133
Kafulila safi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni sawa sawa kabisa, Anachukia rushwa kwelikweliKafulila safi
Hii ni hasara kwa Taifa kuliko hata tulivyo leo.Nawatajia Rais ajae,
1. Mwigulu
2. Kafulila
3. Dkt Mwinyi
Namba 23.Dr Biteko anafaa Sana, japo kina January, Mwigulu nao wataitaka nafasi
Hizi Mada za uraia ni upuuzi tu mtu ambaye Siyo raia anaweza vipi kuingia bungeni? Mpaka kuonwa na mamlaka ya uteuzi na kupata uwaziri??Namba 23.
Nafasi za juu zinafanyiwa vetting ya kiwango cha juu, Ukisimama juu ya mlima lazima uonwe na wengiHizi Mada za uraia ni upuuzi tu mtu ambaye Siyo raia anaweza vipi kuingia bungeni? Mpaka kuonwa na mamlaka ya uteuzi na kupata uwaziri??
Siamini Kama Uhamiaji wamelala kiasi hicho .Nahisi ni mambo ya kisiasa tu
Vetting hiihii ambayo, tulisikia marehemu akipata uteuzi?Nafasi za juu zinafanyiwa vetting ya kiwango cha juu, Ukisimama juu ya mlima lazima uonwe na wengi
Akodishe uwanja wa ndege kuongeza mapato Kama bandariniRais ajae lazima ajawe na Uzalendo kama wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan