Huyu ndio aliwadokeza hawa Waarabu. Ameniharibia huu mwaka kabisa namlaani

Huyu ndio aliwadokeza hawa Waarabu. Ameniharibia huu mwaka kabisa namlaani

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Hii text jamaa wa MC Algers wanasema ndo aliwashtua mambo mengi mengine kuna jamaa anasema atatuma jumbe zote ambazo watu walikuwa wanawatonya MC Algers.

Kuna watu wamewapa mchongo wote hawa jamaa. Hawa ndo wamesababisha tusipate ushindi.

Uongozi wa MC Algers walishasema kuhusu referee kuwa wao wanachukua ushahidi wote hivyo wakamtisha referee.

Kule vyumbani jamaa walimwingiza Daktari kukagua kwanza na wakaweka ulinzi utadhani sisi tulikuwa na nia ovu nao.

Screenshot_2025-01-18-19-14-20-735_com.instagram.android.jpg


Nyie mmetuharibia sana hii weekend. Siwezi wasamehe kwa kweli. Kesho ubaya utawarudia wenyewe. Mtaona
 
Hii text jamaa wa MC Algers wanasema ndo aliwashtua mambo mengi mengine kuna jamaa anasema atatuma jumbe zote ambazo watu walikuwa wanawatonya MC Algers.

Kuna Manyau yamewapa mchongo wote hawa jamaa. Haya manyau nyau ndo wamesababisha tusipate ushindi. Uongozi wa MC Algers walishasema kuhusu referee kuwa wao wanachukua ushahidi wote hivyo wakamtisha referee. Kule vyumbani jamaa walimwingiza Daktari kukagua kwanza na wakaweka ulinzi utadhani sisi tulikuwa na nia ovu nao. Mbwa kabisa hawa.
View attachment 3205509

Nyie manyau nyau mmetuharibia sana hii weekend. Siwezi wasamehe kwa kweli. Kesho ubaya utawarudia wenyewe. Mtaona
Yaani utopolo wakifungwa huwaga hawakosi vijisababu.
 
Hii text jamaa wa MC Algers wanasema ndo aliwashtua mambo mengi mengine kuna jamaa anasema atatuma jumbe zote ambazo watu walikuwa wanawatonya MC Algers.

Kuna Manyau yamewapa mchongo wote hawa jamaa. Haya manyau nyau ndo wamesababisha tusipate ushindi. Uongozi wa MC Algers walishasema kuhusu referee kuwa wao wanachukua ushahidi wote hivyo wakamtisha referee. Kule vyumbani jamaa walimwingiza Daktari kukagua kwanza na wakaweka ulinzi utadhani sisi tulikuwa na nia ovu nao. Mbwa kabisa hawa.

View attachment 3205509

Nyie manyau nyau mmetuharibia sana hii weekend. Siwezi wasamehe kwa kweli. Kesho ubaya utawarudia wenyewe. Mtaona
Hizo texts ni wewe mwenyewe umewatumia, hii screenshot ni kutoka kwa aliyetuma sio aliyetumiwa.

Halafu wala hazijasomwa, kazi bure.

Na mwisho, jitahidi walau uhamie kwenye infinix kutoka kwenye hiyo tecno ili uendeleze harakati za kichawi vizuri.
Na upitie kwa Ras Simba akupige brush, kidogo tu unyooke.
 
Hii text jamaa wa MC Algers wanasema ndo aliwashtua mambo mengi mengine kuna jamaa anasema atatuma jumbe zote ambazo watu walikuwa wanawatonya MC Algers.

Kuna Manyau yamewapa mchongo wote hawa jamaa. Haya manyau nyau ndo wamesababisha tusipate ushindi. Uongozi wa MC Algers walishasema kuhusu referee kuwa wao wanachukua ushahidi wote hivyo wakamtisha referee. Kule vyumbani jamaa walimwingiza Daktari kukagua kwanza na wakaweka ulinzi utadhani sisi tulikuwa na nia ovu nao. Mbwa kabisa hawa.

View attachment 3205509

Nyie manyau nyau mmetuharibia sana hii weekend. Siwezi wasamehe kwa kweli. Kesho ubaya utawarudia wenyewe. Mtaona
Usichokijua mc algers walikuwepo wiki mbili ndani ya bwejuu Zanzibar wakifanya mipango yao
 
Hizo texts ni wewe mwenyewe umewatumia, hii screenshot ni kutoka kwa aliyetuma sio aliyetumiwa.

Halafu wala hazijasomwa, kazi bure.

Na mwisho, jitahidi walau uhamie kwenye infinix kutoka kwenye hiyo tecno ili uendeleze harakati za kichawi vizuri.
Na upitie kwa Ras Simba akupige brush, kidogo tu unyooke.
Ampige brush wapi!?..fafanua
 
Hii text jamaa wa MC Algers wanasema ndo aliwashtua mambo mengi mengine kuna jamaa anasema atatuma jumbe zote ambazo watu walikuwa wanawatonya MC Algers.

Kuna watu wamewapa mchongo wote hawa jamaa. Hawa ndo wamesababisha tusipate ushindi.

Uongozi wa MC Algers walishasema kuhusu referee kuwa wao wanachukua ushahidi wote hivyo wakamtisha referee.

Kule vyumbani jamaa walimwingiza Daktari kukagua kwanza na wakaweka ulinzi utadhani sisi tulikuwa na nia ovu nao.

View attachment 3205509

Nyie mmetuharibia sana hii weekend. Siwezi wasamehe kwa kweli. Kesho ubaya utawarudia wenyewe. Mtaona
Uwezo mdogo wa timu yenu ya vikongwe
 
Hizo texts ni wewe mwenyewe umewatumia, hii screenshot ni kutoka kwa aliyetuma sio aliyetumiwa.

Halafu wala hazijasomwa, kazi bure.

Na mwisho, jitahidi walau uhamie kwenye infinix kutoka kwenye hiyo tecno ili uendeleze harakati za kichawi vizuri.
Na upitie kwa Ras Simba akupige brush, kidogo tu unyooke.
Pole sana. Haya rekebisha hicho kiingereza. Ionekane ni wapi kimekosewa. Ras Simba ndo nani? Ni nyie manyau nyau. Hiyo text inatembea kwenye groups hata huelewi. Onesha kiingereza kimekosewa wapi. Maana nyie msiojua huwa mnakimbilia kusema kimekosewa halafu hamsemi kimekosewa wapi. Na mjomba wako wa simba watu hawamtaki....🤣
 
Back
Top Bottom