Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
- Thread starter
- #21
Ni hovyo si ndo anasambaza huu wendawazimu wakeKwa hiyo alichowatonya waarabu ni sahihi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni hovyo si ndo anasambaza huu wendawazimu wakeKwa hiyo alichowatonya waarabu ni sahihi?
Kama ni hovyo (sio sahihi) imewasaidia vipi hao waarabu?Ni hovyo si ndo anasambaza huu wendawazimu wake
Huoni waarabu walikuja na kila kitu chao? Wakakaa zanzibar na wakikagua hadi room ya pale uwanjani?Kama ni hovyo (sio sahihi) imewasaidia vipi hao waarabu?
Kwani wangekaa Dar badala ya Zar na wasingekagua room pale uwanjani kama mnavyodai ingeisaidiaje Yanga?Huoni waarabu walikuja na kila kitu chao? Wakakaa zanzibar na wakikagua hadi room ya pale uwanjani?
Ila sio Mshana Jr 🤣🤣🤣7 different witch doctors.
Kwani mlitaka kuwafanyeje waarabuHuoni waarabu walikuja na kila kitu chao? Wakakaa zanzibar na wakikagua hadi room ya pale uwanjani?
Soka la bongo limekua mdau mpaka yanga anatoa sare na mwarabu ugeniniHii text jamaa wa MC Algers wanasema ndo aliwashtua mambo mengi mengine kuna jamaa anasema atatuma jumbe zote ambazo watu walikuwa wanawatonya MC Algers.
Kuna watu wamewapa mchongo wote hawa jamaa. Hawa ndo wamesababisha tusipate ushindi.
Uongozi wa MC Algers walishasema kuhusu referee kuwa wao wanachukua ushahidi wote hivyo wakamtisha referee.
Kule vyumbani jamaa walimwingiza Daktari kukagua kwanza na wakaweka ulinzi utadhani sisi tulikuwa na nia ovu nao.
View attachment 3205509
Nyie mmetuharibia sana hii weekend. Siwezi wasamehe kwa kweli. Kesho ubaya utawarudia wenyewe. Mtaona
mtu wa maana kabisa weweHizo texts ni wewe mwenyewe umewatumia, hii screenshot ni kutoka kwa aliyetuma sio aliyetumiwa.
Halafu wala hazijasomwa, kazi bure.
Na mwisho, jitahidi walau uhamie kwenye infinix kutoka kwenye hiyo tecno ili uendeleze harakati za kichawi vizuri.
Na upitie kwa Ras Simba akupige brush, kidogo tu unyooke.