Huyu ndio aliwadokeza hawa Waarabu. Ameniharibia huu mwaka kabisa namlaani

Huoni waarabu walikuja na kila kitu chao? Wakakaa zanzibar na wakikagua hadi room ya pale uwanjani?
Kwani wangekaa Dar badala ya Zar na wasingekagua room pale uwanjani kama mnavyodai ingeisaidiaje Yanga?
 
Umeanza personal attack..timu yako ni mbovu, nilisema nyinyi hamna hadhi ya kucheza robo fainali wala hata kuingia tu, hamna uwezo kabisa. Nyinyi mnajua kuvuta shisha tu na uchawi usio kua na faida.
 
Soka la bongo limekua mdau mpaka yanga anatoa sare na mwarabu ugenini
 
mtu wa maana kabisa wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…