Huyu ndio Balozi Dola Soul

Huyu ndio Balozi Dola Soul

Umuofia…

Miaka ya mwanzoni mwa 2000 moja ya wasanii waliotoa hit song ni msanii Balozi Dola Soul.

Wimbo wake uliompatia umaarufu na mpaka leo unatamba ni ule “Balozi bado nipo”

Ni wimbo ambao hata upigwe leo, lazma utatikisa kichwa kuusikiliza kwa namana kuanzia beat mpaka mashairi yalivyopangwa.

Sasa wengi huwa hawamjui Balozi, kwakuwa aliondoka Bongo na kuhamishia makazi Marekani.

Pichani ndio Balozi Dola SoulView attachment 2730109
"Wengi walikuwepo sasa hivi wapo wapi ? Wapo wapi?

Balozi bado nipo ,bado nipo chati kwenye chati

Nashika Ile Ile,Ile moja namba natamba".
 
Wengi walikuwepo sasa hivi wako wapi/
balozi bado nipo ninatamba kwenye chati/

Halafu ngoma ina beat fulani hivi kama la kimamtoni
 
kuna mwamba aliimba(ga) mambo yote mbele kwa mbele, usikate tamaa msela ongeza misele

mwenye wimbo huo, fanya kutupia.
Ameimba DJ Yusuph ft. Hard Mad, wimbo unaitwa mbele kwa mbele. Mnyamwezi anaishi Sweden miaka mingi sana sasa
 
Back
Top Bottom