raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Huyu jamaa anaitwa dj yusufkuna mwamba aliimba(ga) mambo yote mbele kwa mbele, usikate tamaa msela ongeza misele
mwenye wimbo huo, fanya kutupia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa anaitwa dj yusufkuna mwamba aliimba(ga) mambo yote mbele kwa mbele, usikate tamaa msela ongeza misele
mwenye wimbo huo, fanya kutupia.
DJ Yusuf - Mbele Kwa Mbele
Upo Youtube.
kuna mwamba aliimba(ga) mambo yote mbele kwa mbele, usikate tamaa msela ongeza
Huyu Saigon anafanya mishe mishe gani siku hizi?Oi Oi Kalinye Kalinye Saigon.
Balozi Aka Mtaalam
Sugu Moto Chini
Inspector Haroun Triple 5 Babu
Luteni Kalama.
.kuna mwamba aliimba(ga) mambo yote mbele kwa mbele, usikate tamaa msela ongeza misele
mwenye wimbo huo, fanya kutupia.
Nilisikia ni Mtangazaji kwenye TV Imani.Huyu Saigon anafanya mishe mishe gani siku hizi?
View: https://m.youtube.com/watch?v=TE3UiNfQIaw&pp=ygUlSGFsaSBoYWxpc2kgcmFwIGFzIGFsdGVybmF0aXZlIG1lZGl1bQ%3D%3D
Miaka ya 90 hiyo, ndani humo kuna huyo Balozi, Soggy akiwa mwanafunzi, Saigon,Inspector Harun na wengine wengi.
Dj Yusuphkuna mwamba aliimba(ga) mambo yote mbele kwa mbele, usikate tamaa msela ongeza misele
mwenye wimbo huo, fanya kutupia.
Kutoku-manage lafudhi nalo ni kosa la kiubongo.Unaongea kiingereza kwa lafudhi ya Kihaya?Wapi na wapi? Vichekesho hivyo.Baba yake alikuwa mwanadiplomasia tokea mtoto ameishi sana nchi za nje ndio maana ana lafudhi tofauti kidogo.
Balozi Bado nipooo,ninatambaaa kwenye chaatii....balozi tokea ubaloziniii mika mwamba [emoji445][emoji445]
Wengi wamekuja na wameenda balozi nipo pale pale.........Balozi Bado nipooo,ninatambaaa kwenye chaatii....
Nashika Ile Ileee...Ile Moja nambaaaa....natamba
kuna mwamba aliimba(ga) mambo yote mbele kwa mbele, usikate tamaa msela ongeza misele
mwenye wimbo huo, fanya kutupia.
Nilivyomsikiaga anatowa mawaidha kipindi cha Ramadhani nikajuwa Nigga tayari tumeshampoteza.Nilisikia ni Mtangazaji kwenye TV Imani.
"Wengi walikuwepo sasa hivi wapo wapi ? Wapo wapi?Umuofia…
Miaka ya mwanzoni mwa 2000 moja ya wasanii waliotoa hit song ni msanii Balozi Dola Soul.
Wimbo wake uliompatia umaarufu na mpaka leo unatamba ni ule “Balozi bado nipo”
Ni wimbo ambao hata upigwe leo, lazma utatikisa kichwa kuusikiliza kwa namana kuanzia beat mpaka mashairi yalivyopangwa.
Sasa wengi huwa hawamjui Balozi, kwakuwa aliondoka Bongo na kuhamishia makazi Marekani.
Pichani ndio Balozi Dola SoulView attachment 2730109
Ameimba DJ Yusuph ft. Hard Mad, wimbo unaitwa mbele kwa mbele. Mnyamwezi anaishi Sweden miaka mingi sana sasakuna mwamba aliimba(ga) mambo yote mbele kwa mbele, usikate tamaa msela ongeza misele
mwenye wimbo huo, fanya kutupia.
Na uhakika kila mwaka wa kubaki kwenye chati ,yeaaahhhh!!!"Wengi walikuwepo sasa hivi wapo wapi ? Wapo wapi?
Balozi bado nipo ,bado nipo chati kwenye chati
Nashika Ile Ile,Ile moja namba natamba".
Na double GImenikumbusha Ladha kumi za bongo kutoka Radio one stereo