Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]Nasikia kazi yake kubwa ilikuwa ni kuwafira wahuni ndio maana akaitwa firahuni
Tarot cards je?Mungu aliahidi kuuweka mwili wake kama ukumbusho mpaka siku ya mwisho,lakini hakuahidi kuiweka torati(kitabu halisi alichoshushiwa Mussa na watu wake)
Yani hivyo vitabu ni hekayaSasa Allah mwenyewe alikuwa hajui pharaoh Ni Title sio Jina la mtu..kwahyo WaPo wengi, ila akajua Ni Jina la kiongozi wa Misri wa Enzi Za utumwa wa waisrael kisa biblia ilimtaja huko
Mkuu inaelekea unamuelewa sana JOYNER LUCASKwani muhammad aliishi wapi?
Sio mekka?
aise! tarot<>ToratiTarot cards je?
Nanii???Wee jamaa nyuzi zako sizielewagi kabisa.
muhandsham ndo ninii?Waoh!!! Kumbe muhandsham ivyo..
Acha Bangi bas mzeeNasikia kazi yake kubwa ilikuwa ni kuwafira wahuni ndio maana akaitwa firahuni
Mkuu nasikia mwili wake ukiuzika unarudi tena juu ya ardhi kuna ukweli wowote hapoHuyo alikuwa mtu mwembamba, mfano ni kama Rais fulani wa nchi jirani, sio kwamba watu wa zamani walikuwa wembamba laa bali walikuwepo watu wa aina zote.
Kumbe Firauni ni bonge la cheo... 🤣Kila aliyekuwa mtawala wa Misri (Egypt) alikuwa akiitwa Firauni (Pharaoh). Je wewe unamzungumzia firauni yupi?
Mkuu nasikia mwili wake ukiuzika unarudi tena juu ya ardhi kuna ukweli wowote hapo
Kwa mfano!!!Hizi dini tunapigwa Sana[emoji3525][emoji116]View attachment 1854791
Amtaje jina ili iwejeSasa Allah mwenyewe alikuwa hajui pharaoh Ni Title sio Jina la mtu..kwahyo WaPo wengi, ila akajua Ni Jina la kiongozi wa Misri wa Enzi Za utumwa wa waisrael kisa biblia ilimtaja huko