Huyu ndio fundi chuma...

Huyu ndio fundi chuma...

Sijachanganya mkuu fundi chuma anatoboa mti, tobo na kutengeneza kiota chake, akichanganya na udongo, kwenye kiota chake kama nilivyoeleza, utakutana na nywele za binadamu, shanga, hadi baraghashia, na bado anawalinda watoto wake humo ndani ya kiota chake akiwa, ayupo ameenda kuwatafutia chakula, watoto wake hakuna adui atakaeingia humo mlangoni kwenye kiota anatengeneza kufuri la lililochanganywa na tope na majani ya nyasi mkuu.
 
fundi chuma akishamaliza kujenga kiota,anaishi mara moja tu,akitaga Na kukuza vifaranga wakiwa Na uwezo wa kujitegemea,wanakihama hicho kiota.
 
Fundi chuma
tapatalk_1536855194525.jpeg
 
Ndiye kiumbe anayeweza kucontrol Mafuriko huko maporini, huwa akiona maji yanaweza kubomoa kingo za mto na kusambaa, kabla ya maji kuanza kusambaa huwa anashuka juu ya ukingo mmoja na maji kuanza kupungua.
 
Naomba picha mbili ziwekwe hapa zikionesha yupi ni fundi chuma, maana mpaka sasa kuna picha kama tatu na ziko tofauti .sasa sijajua yupi ni yupi
 
Back
Top Bottom