Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu tafadhali ongeza kwene list yako remy ongala tuende sawa...1. Marijani Radjab
2. Bitchuka
3. Maneti
4. Shaban Dede
5. Muhidin Gulumo
6. Tx Moshi
7. Mbaraka Mwinshehe
Da mkuu umenikumbusha mbali sana mpaka nimejihisi kulengwa lengwa na machozi. Hakika udongo hauli mmea bali hula binadam. Ukifukia shina la kisamvu udongo unacheuwa na mwisho kisamvu kinarudi tena kuota, ukifukia shina la mchicha udongo unacheuwa tena na matokeo yake mchicha unarudi tena kuota. Ila ukifukia mwili wa binadam ndio bye bye udongo haurudishi kitu. Sijui kama tutapata tena burudani kama tulizopata miaka ile ya 80s, 90 hadi 2000.Na tuelewe kuwa nyimbo zao zilitungwa kiustadi hasa, mpaka wimbo unapigwa mbele ya stage elewa umeiva maana ni zaidi ya 15musicians wakionyesha talents zao kwa umakini wa ajabu, vocalist wataimba, midomo ya Bata itasindika na magitaa na piano watapeana muda kusindikizana,tafuta wimbo wa Juwata Jazz wa Etee(ndugu yangu etee pole kwa yaliokifika...)mwimbaji ni Marehemu Shabaan Dede, baadaye solo la marehemu Said Mabera linakabana koo na piano na kupeana nafasi...ardhi ardhi wewe umemeza watu muhimu mno, Nina hasira mno na hawa kenge washika mapumbu, eti yeye pekee na stage show 6 hivi na back up ya vyombo tayari anavutia wavuta unga kibao, DDC Mlimani park orchestra Kuna nyimbo wapo zaidi ya 18 talented musicians kwenye jukwaa, kumbuka Mfaume waniliza, Fikirini, Dada Asha, etc etc
Dr Remmy Ongala huyu nilimsahau kwenye list. Niwie radhi mkuu.mkuu tafadhali ongeza kwene list yako remy ongala tuende sawa...
Remmy pia hakustahili kukosa kwenye list yako.Dr Remmy Ongala huyu nilimsahau kwenye list. Niwie radhi mkuu.
Hajasema amewapanga kwa umuhimu. Hii ni list tu haijapangiliwa kulingana na sifa zao.Mbaraka alitakiwa awe miongoni mwa hao wa juu kabisa, kumuweka namb 7 hata mimi naona amemshusha sana.
Ongezea na hawa ingawa wanaweza kutokuwa magwiji ila walikuwa waimbaji wazuri sana.1. Marijani Radjab
2. Bitchuka
3. Maneti
4. Shaban Dede
5. Muhidin Gulumo
6. Tx Moshi
7. Mbaraka Mwinshehe
Nashukur mkuu kwa kuongeza list ya waimbaji wetu bora waliowahi kutamba miaka hiyo, na wengine bado wanatamba hadi leo.Ongezea na hawa ingawa wanaweza kutokuwa magwiji ila walikuwa waimbaji wazuri sana.
1. Muhina Panduka
2. Hussein Jumbe
3. Lovy Longomba
4. Nico Zengekala
5. Tx Moshi William
6. Jerry Nashon Dudumizi
7. Eddy Sheggy
8. Athumani Momba
9. Suleiman Mbwembwe
10. Cosmas Chidumule
11. Max Bushoke
12. Mapacha wawili kyanga songa, na kasaloo kyanga.
13. Issa Nundu
14. Tshimanga Asosa
15. Kasongo Mpinda
16......
Dah kulikuwa na watu wanaimba jamani. List inaweza kuwa ndefu
Huyo namba 4 Niko Zengekala nyimbo zake za mtoto jack na solemba huwa nazielewa sana.Ongezea na hawa ingawa wanaweza kutokuwa magwiji ila walikuwa waimbaji wazuri sana.
1. Muhina Panduka
2. Hussein Jumbe
3. Lovy Longomba
4. Nico Zengekala
5. Tx Moshi William
6. Jerry Nashon Dudumizi
7. Eddy Sheggy
8. Athumani Momba
9. Suleiman Mbwembwe
10. Cosmas Chidumule
11. Max Bushoke
12. Mapacha wawili kyanga songa, na kasaloo kyanga.
13. Issa Nundu
14. Tshimanga Asosa
15. Kasongo Mpinda
16......
Dah kulikuwa na watu wanaimba jamani. List inaweza kuwa ndefu