Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah upo uwezekano wa kuwa Adobe PS imetumika hapa,maana kutabiri kuhusu Messi ni moja,ila tarehe na mwezi,Hasa ukizingatia majira ya kombe la Dunia la mwaka huu ni tofauti na miaka ya nyuma....Inashangza Sana!!Photoshop mwaka 2015 haikujulikana michuano hii itachezwa mwezi upi
Adobe hiyo mkuuYeah upo uwezekano wa kuwa Adobe PS imetumika hapa,maana kutabiri kuhusu Messi ni moja,ila tarehe na mwezi,Hasa ukizingatia majira ya kombe la Dunia la mwaka huu ni tofauti na miaka ya nyuma....Inashangza Sana!!
Ila Kama Ni halisi,basi mwamba Ni time Traveller.
Photoshop mwaka 2015 haikujulikana michuano hii itachezwa mwezi upi
TAMBAZA tazama mbali zaidiDahhh,,,huyu ni Mchawi huyu siobure!!!
tarehe na mwaka?Wengi walirabiri hilo...hayuko peke yake..
ukiingia kwa akaunt yake twitter ipo mzee sio photoshopPhotoshop mwaka 2015 haikujulikana michuano hii itachezwa mwezi upi
ipo twitter yake katazameAdobe hiyo mkuu
Mkuu uko nyuma ya muda kwa miaka 7. Tarehe ya kuanza kombe la dunia ilitangazwa March 19 2015. Siku moja kabla huyo jamaa hajapost hiyo tweet.Photoshop mwaka 2015 haikujulikana michuano hii itachezwa mwezi upi
Acha uongoWengi walirabiri hilo...hayuko peke yake..
Kwani michuano kupelekwa December ilikuwa sababu ya Covid au ni hali ya hewa ya Qatar kwa June isingewezekana kutokana na hali ya hewa kuwa ya Joto kali?Yaan basi ungefikiria kidogo, mwaka 2015, COVID-19 haipo, yeye aseme Et Dec 18??
Weweeee!!!