MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Hakuna maajabu aliyofanya. Tarehe ya mechi ilitangazwa siku moja kabla ya Tweet yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimejaribu kufuatilia kuwa fifa walitangaza tar 19/3/2015 , na yeye akapost tarehe 20/3/2015.Yaan basi ungefikiria kidogo, mwaka 2015, COVID-19 haipo, yeye aseme Et Dec 18??
Weweeee!!!
Acheni ujinga nimeshawaambia yoyote akitaka nimtengenezee kuwa aliwahi sema hata 2010 kuwa mwaka 2015 tutapata rais kwenye utawala wake watu watapotea kimasikhara Kisha malaika watamnyakua 2021 inawezekana
We huoni kaweka hadi tarehe ya fainali,shule ulisomea ujingaWapi kasema itakochezeka?
Tengeneza twitter yako then tupo username tuoneAcheni ujinga nimeshawaambia yoyote akitaka nimtengenezee kuwa aliwahi sema hata 2010 kuwa mwaka 2015 tutapata rais kwenye utawala wake watu watapotea kimasikhara Kisha malaika watamnyakua 2021 inawezekana
Nipe id yako chagua ionekane wapi
Wew ndo boya kabsaa ilipangwa mapema sababu kwa hali ya hewa quatar ilikuwa haiwezekan kuchezwa mwezi wa 6Wabongo ni rahisi sana kutapeliwa covid-19 ndio imepelekea kombe dunia kuchezwa mid-season mwaka huu.2015 ni kabla hata kombe la dunia kuchezwa Russia.
Natumia fb na insta ambayo pia siwezi week profile yangu hukuTengeneza twitter yako then tupo username tuone
Wame edit tu, nani alijua kama world cup ya mwaka huu ingechezwa December wkt world cup huwa inachezwa June? Bora angetaja mwaka tu kdg tungeamini. Eti kataja mpk tarehe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bro kutokana na hali ya hewa ilitangazwa mapema mbona soma hii link ya mwaka 2015 inaonekana umeanza shabikia mpira 2020Wame edit tu, nani alijua kama world cup ya mwaka huu ingechezwa December wkt world cup huwa inachezwa June? Bora angetaja mwaka tu kdg tungeamini. Eti kataja mpk tarehe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ni tweet ya mchongo,hilo suala la world cup kufanyika mwisho wa mwaka liliamuliwa miaka ya karibuni tu.
Wame edit tu, nani alijua kama world cup ya mwaka huu ingechezwa December wkt world cup huwa inachezwa June? Bora angetaja mwaka tu kdg tungeamini. Eti kataja mpk tarehe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Quatar poapoaWew ndo boya kabsaa ilipangwa mapema sababu kwa hali ya hewa quatar ilikuwa haiwezekan kuchezwa mwezi wa 6
Umechelewa sana aisee ngoja nikuache kwa hali hii matapeli wa mtabdaoni hawawezi kwisha.Nenda twitter katazame
Bahati nzuri twitter haina option ya editing baada ya kupost
Mazuzu ni wengi kweli mkuu hizo mambo watu wanatengeneza sana online.Acheni ujinga nimeshawaambia yoyote akitaka nimtengenezee kuwa aliwahi sema hata 2010 kuwa mwaka 2015 tutapata rais kwenye utawala wake watu watapotea kimasikhara Kisha malaika watamnyakua 2021 inawezekana
Nipe id yako chagua ionekane wapi
Hakuna kitu kinachoshangaza duniani kama kuwaona baadhi ya watu wako mbele ya muda! Ndo ujue kuna watu wanaishi ukimwengu huu na ule usionekana!