Kwa maokoto aliyonayo huyo mzee mtoto ataishi bila baba mzazi huku mambo yake yapo vile vile hataona tofauti kiuchumi.Mateso kwa mtoto. Soon ataitwa mtoto wa single mother
Mmeanza, hamchelewi kusema mtoto ni mchinaHajafanana naye.....
Mbongo mpe picha maelezo atamalizia mwenyeweMmeanza, hamchelewi kusema mtoto ni mchina
Exactly, looks like a Chinese or some far east kidMmeanza, hamchelewi kusema mtoto ni mchina
mtoto usipofanana nae akiwa mchanga ukubwani ndio hufanana na wewe haijawahi kutikea amini hiloExactly, looks like a Chinese or some far east kid
Hiyo pua! KapigwaMwigizaji na mtayarishaji wa Movies kutokea nchini Marekani, Mzee Robert De Niro amepata mtoto wake mwengine akiwa na miaka 80.
View attachment 2941007
Robert De Niro akiwa na umri wa miaka 80 na mtoto wake wa miezi 10
Alipata mtoto wake wa kwanza zaidi ya miaka 46 iliyopita.
✍️ Mjanja M1
Anafanana na mamaake anaitwa Tiffany ChenExactly, looks like a Chinese or some far east kid
Hawa wazee wana balaa! Rafiki yake Al Pacino naye kapata mtoto akiwa na umri miaka 82.Mwigizaji na mtayarishaji wa Movies kutokea nchini Marekani, Mzee Robert De Niro amepata mtoto wake mwengine akiwa na miaka 80.
View attachment 2941007
Robert De Niro akiwa na umri wa miaka 80 na mtoto wake wa miezi 10
Alipata mtoto wake wa kwanza zaidi ya miaka 46 iliyopita.
[emoji3578] Mjanja M1
kwani uongo mtoto ni mchina, picha ya huyo aliyezaa nae tafathali..Mmeanza, hamchelewi kusema mtoto ni mchina
The Godfather, Goodfellas, Taxi Driver, Cape Fear, The Deer Hunter, Raging Bull.Heat ni bongo la movie. Casino pia huyu mzee ni hatari.
Ndugu zangu mama yake mmemuona? Halafu haonsi waswahili wana kila aina ya vipimo..Exactly, looks like a Chinese or some far east kid
Hivi ile movie amecheza akiwa gangstar/ mafia wa kiitaliano ni ipi?The Godfather, Goodfellas, Taxi Driver, Cape Fear, The Deer Hunter, Raging Bull.
De Niro is a legend.