Huyu ndio mume ajae wa Wema sepetu

Hahaha
Nimecheka sana. Vyuma sio mchezo
 
Sema wema alivokua ukawa alitulia sana hakua na viujinga ujinga cha mitandao alikua anafanya mambo yake bila mitandao ya kijamii sasa karudi ccm akili yake imehama tena cjui imeenda miguuni
 
Sema wema alivokua ukawa alitulia sana hakua na viujinga ujinga cha mitandao alikua anafanya mambo yake bila mitandao ya kijamii sasa karudi ccm akili yake imehama tena cjui imeenda miguuni
Halafu huyu sii mwanamke wa singida.? Lazima ni shimo la panya kila kitu wamekata
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo ni video vixen
 
Ule wakati Wema alikuwa Wema, shopping za Dubai na kukaa 5* hotel. Alikuwa anapost viatu vya $3,000 insta. Sasa imebaki historia.
 
Maisha matamu sana zama hizi! Unakagua gari kwanza ulaji wa mafuta kabla halijaitwa lako, kisha unalihamishia kwako au unawaachia madereva wengine nao wajaribu kama ni madereva wazurikuliko wewe
 
acha masihara basiii hebu tupia picture yake hapa akiuza chips nicheke kidogo... so ilikuwaje mpaka akaacha kazi huko ikulu
hakuacha alitemeshwa baada ya skendo kuzidi unajua tena wema anamtajataja tu jamaa linaenda linamtoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…