Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

Nimewaza sana ,lengo lako kufutahisha au umeaanisha,maana kwa umati wa wanawake mlivyo ijaza Dar kuliko wanaume usingeweka vigezo vya vitisho kiasi hicho

Labda angekuwa X wife Mond tungewahi nafasi pale maana noti ipo
wasema wewe
 
Vigezo gani?, yaani wewe kumuwekea vigezo mwanaume, ni sawa sawa na mfano wa bidhaa na mnunuzi, mwanaume ni mnunuzi, wewe ni bidhaa, hivyo ni jukumu la mnunuzi, kuchagua ubora wa bidhaa anayotaka, na wala siyo bidhaa kumpangia mnunuzi.
Nafikiri walioweka hili jukwaa hawakukosea kabisa, hakuna shida kuwa perfectionist kama utakutana na wa kufanana nawe.

Kwako unaona ni ajabu maybe kwakuwa hauna vigezo, ila mbona ni vigezo vya kawaida tu mwanaume kuwa navyo. Na sio kwamba hakuna mwanaume asie na vigezo hivyo.

Ndoa sio lelemama, hivyo mwacheni apate watakaeendana.

Wewe kuwa na vigezo vya mkeo haimaanishi ni vigezo vya kila mwanamke.
 
Mtoto acha kupiga mayowe. Kama unahivyo vigezo vitaonekana kwenye vitendo na uhalisia na sio kuvitamka na kuvipamba kwa maneno lukuki.
Ni binadamu yupi ambaye akipewa nafasi yakujisifia atajisema kwa mabaya? Hakika hakuna na hatakuwepo chini ya jua.
Kwakifupi wewe ni msanii kama walivyo wasanii wenzako wa bongo movie na wala sio mwanamke sahihi kwenye ndoa.
 
Dunia haishiwi vituko, hivi ni mwanadamu yupi utampata amekamilika hapa kwenye sayari hii, km kweli unatafuta mume wa kukidhi vigezo hivyo basi jitahidi huenda utampata japo sidhani, na umekwepa kutaja umri wako
 
Vigezo gani?, yaani wewe kumuwekea vigezo mwanaume, ni sawa sawa na mfano wa bidhaa na mnunuzi, mwanaume ni mnunuzi, wewe ni bidhaa, hivyo ni jukumu la mnunuzi, kuchagua ubora wa bidhaa anayotaka, na wala siyo bidhaa kumpangia mnunuzi.
Si ndio maana hauna vigezo!!!
 
kamchukue kaka yake samantha! yaani lile robot uliweke hizo sifa zote litakufaa,sie binaadamu tumechemka.
 
SIFA NUMBER 6.

Body size ni moja ya kigezo cha mwanaume kua Gentlemen???

Wapi uliona hio? Nani kasema? Bullshit...

Being a Gentleman is all about actions/ affections towards a woman or man.

Any man who shows affection to a woman is highly considered to be a gentleman..

Body size is not and it will never be a guarantee for a any man being a gentleman.


Hahahaha! I wish I could see you physically.....
Victimised ? Don't be so bitter sob up
 
Mtoto acha kupiga mayowe. Kama unahivyo vigezo vitaonekana kwenye vitendo na uhalisia na sio kuvitamka na kuvipamba kwa maneno lukuki.
Ni binadamu yupi ambaye akipewa nafasi yakujisifia atajisema kwa mabaya? Hakika hakuna na hatakuwepo chini ya jua.
Kwakifupi wewe ni msanii kama walivyo wasanii wenzako wa bongo movie na wala sio mwanamke sahihi kwenye ndoa.
asante
 
Back
Top Bottom