Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

+34 , RC ,Mcha mungu,Hajawahi kuoa,Hana mtoto!......Asiwe Muhaya.[emoji15][emoji15]
 
Mleta mada,nakuombea usichanganyikiwe zaidi ya hapo ulipofikia..
Ili mradi huwezi kuumba,una jukumu la kujifunza kupenda vinginevyo naona kama una kakiburi ka mafanikio na uzuri,ambako katakuletea shida tena si ndogo!
Ushauri:
Mwombe Mungu sana usiingie kwenye mtego wa akili zako!
 
Aseeh nikama Nimependa Tangazo lako ila badilisha r hizo maana mke tupo chumbani unaniambia baby I rove you nitakimbia.

Kila la kheri kigezo cha kucha kimenikosesha mke na cha r.
We si umeishi nje,fursa hiyo kucha unazo?
 
Haha....utasubiri sana ndugu.....Leo asubuhi kwenye pitapita yangu mtandao...nilikutana na maneno yasemayo....Mungu hawezi kukupa mwenza wa maisha ambaye umemtengeneza wewe kwenye ubongo wako....Lkn Mungu amekupa raw materials kiasi cha kutosha kuweza walau kumtengeneza huyo umtakae, uweze kufanyakazi ya kumpata mtu ambae unahisi na unaimani unaweza mtengeneza au mnaweza tengenezana mkafika ktk point ya equilibrium ambayo kila mtu ataridhika na mwenzake.....that is what you have to do.....Hayo mambo uliyoandika hapo hayatawezekana....hakuna mtu perfect kwa namna ya hivyo...na hata kama akiwepo anaweza asikupende wewe....hata kama wewe ndo utamtamkia......
 
Usafi wa kupitiliza ni aina fulani ya ukichaa, hivyo ilibidi upitie Milembe kidogo warekebishe IQ yako hiyo unayodai iko vizuri. Biologically mtu anayehangaika kufanya usafi sana is not okay upstairs, prove me wrong!
 
Hapana aicee, nina baadhi ya vigezo hapo, vingine Sina.

Kwa mfano cha umri na dhehebu (RC)
Umri haina shida mnaweza kubargain tu[emoji85] [emoji85] [emoji85]
Dhehebu si unabadili unamfuata wifi.
 
Inna mbona unabishana na watu, hebu ongea na wenye vigezo tufanyie shortlisting
 
Back
Top Bottom