ALEX_ANDER
JF-Expert Member
- Jul 8, 2014
- 570
- 816
+34 , RC ,Mcha mungu,Hajawahi kuoa,Hana mtoto!......Asiwe Muhaya.[emoji15][emoji15]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
asanteMuumbe wa kwako
Hapana aicee, nina baadhi ya vigezo hapo, vingine Sina.Mpendwa hata wewe hauna vigezo?
We si umeishi nje,fursa hiyo kucha unazo?Aseeh nikama Nimependa Tangazo lako ila badilisha r hizo maana mke tupo chumbani unaniambia baby I rove you nitakimbia.
Kila la kheri kigezo cha kucha kimenikosesha mke na cha r.
Nani ana vigezo hivyo unamjua tumsaidie shogaHivi kumbe bado unatafuta!!!
Umri haina shida mnaweza kubargain tu[emoji85] [emoji85] [emoji85]Hapana aicee, nina baadhi ya vigezo hapo, vingine Sina.
Kwa mfano cha umri na dhehebu (RC)
haha kuna kigezo kikubwa nimekikosa hapo.We si umeishi nje,fursa hiyo kucha unazo?
Mbona povu huna sifa hata mbili hapo juuNani akuzalie mwanaume wa sifa zote hizo? Wewe unaweza kuzaa mwanaume wa hivyo au unasubiri tu watu wakuzalie? Sshithole!!
Hahahaaaa!! Kuna kaka yangu mmoja anavyo ila anaoa next month.Nani ana vigezo hivyo unamjua tumsaidie shoga
Hahaahhah[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Watu mkishajijua hamna sifa mna hasira!!!
kirahis hivyo? unaotaHembu ni inbox number nikuone
Nahisi wangekuwa wanamuona wangempiga mawe kabisa.Hahaahhah
Dada una chura?sorry nikiwa mdogo niliishi sehemu ambapo hawatumii kiswahili so r na l sometimes zinanichanganya
Muite na NgabuHebu muite fasta maana akimkosa huyu haitokaa itokee tena.hii harusi sitaki kukosa