Ahmed _ba'juun
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 251
- 200
Na kingne umri mm ni 30..so vigezo viwili nshafel...urefu na miaka...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuwa na subira kuna watu ni lazima niwajibu wajue jinsi ya kuongea na watu. sorryInna mbona unabishana na watu, hebu ongea na wenye vigezo tufanyie shortlisting
Oooh!! Basi ngoja niendelee kusubiri my kaka.Subiri tu utampata wifi bomba...mwenye vigezo ninavyokidhi.
Leo nimenyooka na espy, naona anataka kunichukulia kawaida.Leo single faza wamebaguliwa ahah
uko sawa hili nalijua na linanipa shida sanaWw kabila gan kwanza tujue?? Maana unatukataa sjui y...af cha ajab wengi wenye cfa hzo zote ni wahaya sasa...hahhhaaaaaaa
So mkuu unamshauri atafute mchafu kidogo?Au na wewe ndio wale msiofua nguo za ndani hadi ichore ramani?Usafi wa kupitiliza ni aina fulani ya ukichaa, hivyo ilibidi upitie Milembe kidogo warekebishe IQ yako hiyo unayodai iko vizuri. Biologically mtu anayehangaika kufanya usafi sana is not okay upstairs, prove me wrong!
Hizo mbio zako, utasimamishwa na umri, narudia tena umri haujawahi kusema uongo..! CHEZEA PESA, KAZI, MIRADI ILA USICHEZE NA KITU KINAITWA UMRI/MUDA UTAAMBUKA.Wakuu salaam.
Kwa malezi niliyolelewa mimi sistahili kufanya ili jambo, pia kwa mira na desturi za kiafrika sistahili kufanya hiki kitu, lakini huu moyo ni wangu, na mmiriki wa moyo wangu ni mungu. Sasa nikajiuliza kwa nini niendelee kuumia? Hakuna sababu ya kuendelea kuumia? ingawa najua mwanamke kumtafuta mwanaume ni aibu kubwa, ila nikawaza kwakuwa kuna sababu ambayo najua ni muhimu sana akipatikana na nikampenda nitamuweka wazi na atanielewa. Mamayangu amenilea vizuri kwa maadili na heshima, nina Imani ninachokiandika hapa mungu yupo anashuhudia,
Wale mtakaokuja kuniponda eti kwa nini nitafute mtandaoni huku niishiko hawapo? Jibu ni kwamba wapo kibao na wengine nikiri wananililia kunioa but, for the sake of my heart wacha niweke wazi mwanamme ninae mtaka staki wahuni mm sio mhuni mung undo shihidi.
SIFA ZA MWANAUME NINAE MTAKA.
1. Awe na mama yake mzazi/mlezi lakini akiwa na wazazi wot itapendeza sana.kama hana wazazi basi sawa ni mpango wa mungu ingawa itaniuma sana,
Why awe na mama yake? wakuu nataka kumuona huyu mwanamke duniani kote yeye ndo atokee anizalie mme? Nataka kumuona nimwambie ‘mama asante kwa kubeba mimba miezi 9 ukanizalia mwanaume wa ndoa nitakupenda kama mama yangu mzazi.’
2. Awe msafiiiiii. Narudia tena awe msafi kupitiliza spendi mwanaume mchafu sipend aina yeyote ya uchafu, No no nataka siku nikikutana nae macho yangu yadhibitishe kuwa ni msafi,yaan kuanzia kwake ndani mavazi awe smart.
3 Awe mrefu.
4. Rangi Yeyote hainipi shida ila akiwa na ka uweusi Fulani atanoga
5. Awe anajua kuvaa. kama hajui kuvaa smart nitamfundisha hii sector niko vizuri sana
6. Asiwe mwembamba. nataka zawadi za nguo nitakazokuwa nampa zimkae vizuri yaan awe na body size ya kati.(gentleman
7.Awe ana upendo. jamani kama mimi.nasisitiza kama una roho ya paka usijidanganye nataka nionje taste of love
8 Awe ana care, jamani awe na mkono mwepesi hata akinipa pipi ina thamani kwamgu, namiss hii kitu mm natoa sana nikimpenda mwanaume siwezi kutoka mjini bila kumnunulia chochote nguo ndo usiseme.
9.Awe kristo rc na mcha Mungu
10. Awe na miaka 34+ ni lazima.
11. Awe ameshafika stage Fulani ya maisha. Staki mwanaume tegemezi, atleast awe na mradi mmoja wa kumuingizia pesa tofauti na ajira.staki mwanaume mzembe ambae hajui kutafuta pesa. Inshort awe na mipango ya kuwa somebody na future nzuri .staki mwanaume anaemiliki p.u.m.b.u na smartphone.mm ni mtafutaji staki mwanaume wa ovyo.
12,Awe na kucha zote miguuni, napenda weekend nikimkata vizuri kucha zikae fresh avae sandles sometimes pensi fulan amaizing atoke bomba.
13 Asiwe alishawahi kuoa wala kuwa na mtoto nje ya ndoa, Mtoto ni Baraka ila watoto wa nje ya ndoa wanaleta migogoro .staki mme wa mtu mm.
14. elimu degree, masters phd vyote sawa.
15 asiwe mhaya .plz naomba msinielewe vibaya samahani sana mnisamehe
SIFA ZANGU
1. Namshukuru mungu kunipa upendo nina upendo kwa kila mtu
2. Mimi ni msafiiiiiiiiii yaaani ni msafiiiii kupitiliza
3. Nimeajiriwa ila nimejiajiri kimradi changu kidogo pemben tho sipendi kuajiriwa ndo mana nataka mwanaume ambae atanipa sapport tupanga miradi tuwe na maisha bora.
4. Elimu –degree
5. Rangi –mweusi kiasi
6. Urefu size ya kati umbo mm sio bonge.
7. nacare sana nikimpenda mtu nampenda kwa vitendo
8. Sijawahi kumsaliti mtu
9. Dini mkristo –rc
10, najitegemea sitegemei mwanaume vitu vidogovidogo nina uwezo navyo in short mm ni mtafutaji.
11mimi ni mcha mungu.
12 napenda sana competition sipend mme wangu azidiwe na wanaume wengine hasa kimaendeleo
13 sina mtoto na sijawahi kuolewa.
14 nina akili ya maisha yaani IQ yangu ipo juu saa upstairs niko vizuri.
15 Mm ni mchangamfu sana mcheshi namshukuru mungu kuniumba hivi.
16. mm ni mvumilivu ila ikiwa too much, siwezi kuvumilia tena.
N.B. Mimi ni binadamu sijakamilika nina mapungufu yangu lakini hivyo kidogo mungu alichonijalia kinaendana na ukweli niliouandika hapa. hasa sifa zangu.
NOTE. Ningependa nikutane na mwanaume ambae alishawahi kuishi nje nchi yaani ana exposure ya mambo mengi nina sababu ya msingi hasa kimaendeleo / biashara LAKINI AKIDHI VIGEZO VYOTE NO 1-15 . lakini kama hajawahi kuishi nje na ana vigezo hakuna mbaya najua nikiwa nae tutafika mbali.
NINAVYO MISS.
1. Mme wamgu uko wapi? Nimekusubiri nimejitunza nimechoka kukusubiri
2. Nimemiss kukumbatiwa miaka sasa
3. Nimemiss kukiss staki kukiss na jitu la ajabu lichafu
4. Nimemiss kubebwa
5. nina upweke staki kukaribisha vijianaume vya ajabu kwangu
6. Uko wapi baba nikupikie uone ninavyojua kupika.
7. Njoo uone nilivyo msafiii sijawahi kuingiza mwanaume kwangu njoo uone kwangu nilivyo msafi
8. Njoo uone ninavyojipenda
9. Njoo nikuoneshe upendo
10 Njo baba mama yangu anataka kukuona.
11. Namiss neno baba njoo nikuite baba.
Kiukweli nimeniss vingi sana sio kwamba nilipo hakuna wanaume wapo wengi kazini ila nataka wangu wa moyo nimuoneshe upendo nae anioneshe maana hiki ndicho ninachokimiss kutoka kwa mtu nimpendae.
Mwisho mm ni mwanamke ninaejitambua wale ambao mtakuja hapa kunitusi eti nichonge au nizae mme wangu nawaomba tafadhari mkae kimya najua ninachokita. na nina imani huyu mtu mwenye sifa hizi yupo.
Angalizo.
kama unajua huna vigezo hivyo hapo juu plz usijisumbue kuja pm maana niko makini, najua kuna vitoto vinavyomiliki laptop baada ya kupaya mkopo wa board vitakuja plz tuheshimiane ninaomba.
Karibuni.
Unalijua asee?ndo useme kabila lako watu nao wajueuko sawa hili nalijua na linanipa shida sana
Sawa dada.Oooh!! Basi ngoja niendelee kusubiri my kaka.
Haya chacha!! "Reo ni reo".Sasa huu ni upunguani, usikute Malaya, kila mtu kachovya, au sura mbayaaa, kuna mmoja alishawahi kutoa tangazo lake hapa, sifa kibao, nikamfata pm. Tukajadiliana, nikamtumia picha za uongo, basi akaingia mwenyewe. Akanipa namba, tukuanza kuchati, siku nakutana nae Mungu wangu, asee hapana nilimuuliza Mara mbili mbili ni wewe mwenye I'd hii, ooh ni Mimi. Nakapiga stori pale, tulipoacha tu, nikablock kabisa namba zake. Sasa usikute anatajia sifa nyingi kumbe mtu mwenye wa hovyo hovyo
Mara ngapi sasa!! Zamaaaaaani.Leo nimenyooka na espy, naona anataka kunichukulia kawaida.
Wewe mdanganye mtoto wa watu aje nimchungishe n'gombe apigwe jua viganja vikakamae hata kushika simu aombe ushauri JF ashindwe.
Haters hawaishi rafiki yangu, you're wasting your time.kuwa na subira kuna watu ni lazima niwajibu wajue jinsi ya kuongea na watu. sorry